Laudit Mavugo aanza "kurudisha" hela ya usajili Simba S.C.

Simba haiwezi kujilinganisha na yanga ktk VPL hii misimu mitatu hapa nyuma sikatai, ila usijifanye kuilinganisha simba na yanga huko mnakopaita utaifani, swimme nyie angalieni record za simba na Ndala FC alafu urudi hapa kutoa povu

2000 years of history blaza!
 
Mavugo kama Pogba
 
Ajabu huyo mchezaji bora hana namba ya kudumu timu ya taifa.
 
Nyie mbumbu fc huyo mavugo kawaroga nini? Baadala ya kumsifia kichuya nyie mnamsifia mavugo wakati man of the match ni kichuya kweli nyie ni mikia fc
 
Unacheza na timu ya kumi na moja kwenye ligi halafu unajisifia sasa si bora mngewaalika ndanda fc
Hao ndanda tangu muanze kukutana nao ktk ligi kuu mliwafunga goli ngapi kwa kila mechi?

Huu mchezo hauhitaji hasira.
 
Yanga msimu uliopita haikua bora, ilikua ni best among the worst.. Hivyo ilienda kutokana na sheria za CAF.. Lakini kama CAF wangekua wanaangalia viwango vya timu kabla.. Yanga hamkutakiwa kusogelea hata uwanja.
Kwa nini hizo sheria za CAF haziku-apply kwenu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…