t blj
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 7,035
- 16,705
Mi.mwenyewe nashangaa sisi ambao hatupigi tungi ndo basi tena hatutaweza kuuelewa huo wimboWimbo hauwi mzuri mpaka uwe Club? Au tafsiri ya wimbo mzuri siku hizi imebadilika?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi.mwenyewe nashangaa sisi ambao hatupigi tungi ndo basi tena hatutaweza kuuelewa huo wimboWimbo hauwi mzuri mpaka uwe Club? Au tafsiri ya wimbo mzuri siku hizi imebadilika?
[emoji3][emoji3][emoji3]kwahyo tukusanyike club kwenda kuhakiki kama wimbo ni mzuri au mbaya [emoji706]
Alipie Tangazo [emoji3][emoji3]Lavalava umejianzishia uzi
Yaan mi naonaga jamaa hapewi promo inayostahili ilihal anaujua mzikiKwenye kutokutoa ushirikiano sijajua why lakini jamaa anajua sana
Sio kwamba hapewi promo sema kinachomcost utaratibu wake wa wimbo, kwa mziki wa sasa sio wakutoa ngoma 1 kwa Mwaka hii imemfanya awe anasahaulika hivi umeona Mbosso na Zuchu wanaachia ngoma 5 hata 6 kwa mwaka na hapo unakuta Wana collaboration nyingine sasa yeye ngoma 1 kwa mwaka unategemea nini?Yaan mi naonaga jamaa hapewi promo inayostahili ilihal anaujua mziki
Lakini sio kwamba yy ndo anaamua atoe ngoma kwa mwaka hapana kama uongozi unapanga kwa mwaka mtu atoe ngoma tano yy anashindwaje kutoa ngoma tano ilihali studio ipo ya bure na kila kitu management inasimamia..? Kwamba hajui kutunga ngoma tano 5 tu sio kweli ila hapewi nafasi ya kuachia ngoma kama wenzie wanavofanya angalia mfn mboso mwezi huu katoa ngoma mwezi uliopta ngoma nyngne alitoa uyo zuchu ndo akiamua tu anatoa ngoma ila lavalava anabaniwa tuSio kwamba hapewi promo sema kinachomcost utaratibu wake wa wimbo, kwa mziki wa sasa sio wakutoa ngoma 1 kwa Mwaka hii imemfanya awe anasahaulika hivi umeona Mbosso na Zuchu wanaachia ngoma 5 hata 6 kwa mwaka na hapo unakuta Wana collaboration nyingine sasa yeye ngoma 1 kwa mwaka unategemea nini?
Sio kweli eti Wcb wanampangia wakati wao ni wafanyabiashara unapotoa ngoma nyingi ndivyo na wao wanaingiza hela hivi uliona ugomvi wa Wcb na Richmavoko ulikuwa wapi wakati Wcb walikuwa wanahitaji album ya Mavoko ndani ya miezi 9 ndio kwanza Mavoko katengeneza ngoma 3 Mavoko alikuwa mvivu wa kutengeneza ngoma na ndio kitu anacho LavalavaLakini sio kwamba yy ndo anaamua atoe ngoma kwa mwaka hapana kama uongozi unapanga kwa mwaka mtu atoe ngoma tano yy anashindwaje kutoa ngoma tano ilihali studio ipo ya bure na kila kitu management inasimamia..? Kwamba hajui kutunga ngoma tano 5 tu sio kweli ila hapewi nafasi ya kuachia ngoma kama wenzie wanavofanya angalia mfn mboso mwezi huu katoa ngoma mwezi uliopta ngoma nyngne alitoa uyo zuchu ndo akiamua tu anatoa ngoma ila lavalava anabaniwa tu
Ukisema hapewi nafasi siyo sawa vilele kwasababu WCB ina ingiza faida kutokana na anacho kizalisha akitoa ngoma anapata promo vizuri tu ,kuna kitu hakipo sawa ila siyo hapewi nafasiLakini sio kwamba yy ndo anaamua atoe ngoma kwa mwaka hapana kama uongozi unapanga kwa mwaka mtu atoe ngoma tano yy anashindwaje kutoa ngoma tano ilihali studio ipo ya bure na kila kitu management inasimamia..? Kwamba hajui kutunga ngoma tano 5 tu sio kweli ila hapewi nafasi ya kuachia ngoma kama wenzie wanavofanya angalia mfn mboso mwezi huu katoa ngoma mwezi uliopta ngoma nyngne alitoa uyo zuchu ndo akiamua tu anatoa ngoma ila lavalava anabaniwa tu
Sasa kwann hawatak hatoinngoma kam wenzie..?Ukisema hapewi nafasi siyo sawa vilele kwasababu WCB ina ingiza faida kutokana na anacho kizalisha akitoa ngoma anapata promo vizuri tu ,kuna kitu hakipo sawa ila siyo hapewi nafasi
Ndiyo maana nimesema kuna kitu hakipo sawa ila si kubaniwa na management yakeSasa kwann hawatak hatoinngoma kam wenzie..?
Kwamba yy mwenyewe ndo anafeli au sio...?Ndiyo maana nimesema kuna kitu hakipo sawa ila si kubaniwa na management yake
Jamaa anajua sana tu, ila nikukumbushe kitu kwenye digital platform lava lava kumi bora yumoKwamba yy mwenyewe ndo anafeli au sio...?
nko naskikiza ngoma yake ya nitake nini daaah hyu ni fundi saNa aisee
Nimeusikiliza wimbo wa kawaida sana. Lavalava kwa kiwango chake hapa hajakifikia. Kuna nyimbo zake za nyuma kali sana mbali zaidi ya hiiKausikilize ukiwa club. Amapiano inahitaji uwe na vibe.
Aaaah acha masihar mkuuJamaa anajua sana tu, ila nikukumbushe kitu kwenye digital platform lava lava kumi bora yumo
Fatilia mkuu utanipa jibuAaaah acha masihar mkuu
Shida sio Wcb ni yeye msanii mwenyewe kubweteka tangu Lavalava awe na mzungu hatoi ngoma bact to backSasa kwann hawatak hatoinngoma kam wenzie..?