Hujapendekeza akitoka hapo aende wapi!???
Aende kwa king kiba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujapendekeza akitoka hapo aende wapi!???
Vanessa bado anakula good time na shemela wetuu Rotimiii, kwan wee hujui hilo?Yuko wapi Vanessa mdee?
Je umeshawahi kununua mziki wake kwenye platform yoyote au kulipa pesa na kuingia kwenye show yake?Lavalava anaweza mimi nazipenda nyimbo zake ingawa sijui anakwama wapi maana simuoni akisogea, sijajua kama watanzania ndio wagumu kumuelewa ama muziki wake ndio mgumu kueleweka. Siku akitoka WCB pengine watu ndo watajua uzuri wa nyimbo zake japo ndio atakuwa amepotea
Nyimbo siwezi kuzinunua wakati wanaziachia bure kwa kina Dj Mwanga, ila namchangia ninapoingia U-Tube na ninaposikiliza kupitia Audiomack/Boomplay. Kuhusu show sijawahi kusikia show yake yoyote kwa huku ninapoishi sasa, labda nimewahi kumuona kupitia show ya WasafiJe umeshawahi kununua mziki wake kwenye platform yoyote au kulipa pesa na kuingia kwenye show yake?
At least wewe unamchangia kwenye audiomack, boomplay na youtube.Nyimbo siwezi kuzinunua wakati wanaziachia bure kwa kina Dj Mwanga, ila namchangia ninapoingia U-Tube na ninaposikiliza kupitia Audiomack/Boomplay. Kuhusu show sijawahi kusikia show yake yoyote kwa huku ninapoishi sasa, labda nimewahi kumuona kupitia show ya Wasafi
Kabisa, wengine wanasubiria atoke WCB ndo utasikia wakisema 'Lavalava alikuwa mkali sana, WCB walikuwa hawampi sapoti ya kutosha', kumbe wao ndo wanamuangusha. Huwa najaribu kupitia account yake ya U-Tube huwa naona haisogei, subscribers wanaongezeka kwa mwendo wa kinyonga compared na wanalebo wenzake, hata viewers wa video zake ni wakusuasua na sio kwamba nyimbo zake sio nzuri, nikiingia Boomplay wasanii wenzake wote wa lebo (ukiondoa Queen Darlin) ngoma zao huwa zinatrend, ila yeye ni mara chache, yaani kiutaniutani hata Zuchu atampita. Mashabiki wampe sapoti, ni msanii mzuri au hadi atengeneze kiki?At least wewe unamchangia kwenye audiomack, boomplay na youtube.
Hawa wasanii mara nyingine wanaangushwa na mashabiki mandazi, wanajifanya wanampenda wakati wanafanya piracy kwenye kazi zake.
AmenogewaVanessa bado anakula good time na shemela wetuu Rotimiii, kwan wee hujui hilo?
Baada yaWale waliomshangilia Yesu kwa mitende na kutandika nguo apite kabla ya wiki walisema asulubiwe.
At least wewe unamchangia kwenye audiomack, boomplay na youtube.
Hawa wasanii mara nyingine wanaangushwa na mashabiki mandazi, wanajifanya wanampenda wakati wanafanya piracy kwenye kazi zake.
Acha afurahie kwan uumbaji wa Mola, atarudi tyuuuh ndani ya Game.Amenogewa
Ngoja tuoneAcha afurahie kwan uumbaji wa Mola, atarudi tyuuuh ndani ya Game.
Ouk sawaaaaahNgoja tuone
Wewe ndiyo shabiki mandazi niliyemzungumzia?Bwashee unataka mashabiki tufanyeje, tumchangie pesa akiwa amelala studio.?
Kazi tunazipata kwa njia inayowezekana, ni jukumu lake kuhakikisha anazipata hela zetu.... teknolojia inaturahishia mambo nasi hatuwezi kuwa na huruma yenye gharama.
😃😃😃Akaendeshe bodaboda, kama Mavoko!
😂😂😂😂Aende kingmusic alale sebuleni