Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aje awe kibodist hahaaaMnataka atoke wcb aje kuwa keyboard warrior
Aache pigo za kishog@.Ada ya mja hunena, muungwana ni vitendo!
Sikia hii, labda kama umezaliwa kuishi na kufa (kimziki) ndani ya WCB. Pengine unalijua hili, na huna cha kufanya kwa maana uwezo wako ndo umeishia hapo.
Madogo wanakuja, madogo wanakua na wanaondoka. Huoneshi kujitanua, ulisikika vema ulipoingia lakini sasa hali ni mbaya.
Usije kusema hujaambiwa, kama kuna wanaokusifia kuwa bado ni mkali basi ujue wanakulamba kisogo. Labda kama una ‘ukali’ mwingine unaokutetea na kukuongezea mbeleko.
Niliwahi kuwa shabiki yako, nyimbo zako kadhaa ziliwahi kunirahisishia ‘kazi’ mahali fulani. Nalazimika kuendelea kukukubali kama sehemu ya fadhila, ila usipoamka utaona vumbi tu.
Siku ukifurushwa hapo ndo akili zitakukaa sawa, kama ni uwezo umegota bora ukimbie kwa visingizio kama yule mwingine kabla ya fedheha ambayo hutoweza kujitetea.
Ukibebwa, jishikie!
Aache pigo za kishog@.
Ana code za kishog@ Sana Yule dogo, huwa simuelewi kabisa, kubenua benua midomo, mikono kuilegeza, macho kuyafanya Kama binti, na the way wanavyoongea na vimisemo vya kishog@
Au ndo mdudu keshaingia kwenye embe?
Ada ya mja hunena, muungwana ni vitendo!
Sikia hii, labda kama umezaliwa kuishi na kufa (kimziki) ndani ya WCB. Pengine unalijua hili, na huna cha kufanya kwa maana uwezo wako ndo umeishia hapo.
Madogo wanakuja, madogo wanakua na wanaondoka. Huoneshi kujitanua, ulisikika vema ulipoingia lakini sasa hali ni mbaya.
Usije kusema hujaambiwa, kama kuna wanaokusifia kuwa bado ni mkali basi ujue wanakulamba kisogo. Labda kama una ‘ukali’ mwingine unaokutetea na kukuongezea mbeleko.
Niliwahi kuwa shabiki yako, nyimbo zako kadhaa ziliwahi kunirahisishia ‘kazi’ mahali fulani. Nalazimika kuendelea kukukubali kama sehemu ya fadhila, ila usipoamka utaona vumbi tu.
Siku ukifurushwa hapo ndo akili zitakukaa sawa, kama ni uwezo umegota bora ukimbie kwa visingizio kama yule mwingine kabla ya fedheha ambayo hutoweza kujitetea.
Ukibebwa, jishikie!
Mvulana anajiita Mr Love Bites![emoji15]
Akaendeshe bodaboda, kama Mavoko!
HahahaMvulana anajiita Mr Love Bites![emoji15]