Lavalava amka, hatukuoni ukitusua nje ya WCB

Lavalava amka, hatukuoni ukitusua nje ya WCB

Ada ya mja hunena, muungwana ni vitendo!

Sikia hii, labda kama umezaliwa kuishi na kufa (kimziki) ndani ya WCB. Pengine unalijua hili, na huna cha kufanya kwa maana uwezo wako ndo umeishia hapo.

Madogo wanakuja, madogo wanakua na wanaondoka. Huoneshi kujitanua, ulisikika vema ulipoingia lakini sasa hali ni mbaya.

Usije kusema hujaambiwa, kama kuna wanaokusifia kuwa bado ni mkali basi ujue wanakulamba kisogo. Labda kama una ‘ukali’ mwingine unaokutetea na kukuongezea mbeleko.

Niliwahi kuwa shabiki yako, nyimbo zako kadhaa ziliwahi kunirahisishia ‘kazi’ mahali fulani. Nalazimika kuendelea kukukubali kama sehemu ya fadhila, ila usipoamka utaona vumbi tu.

Siku ukifurushwa hapo ndo akili zitakukaa sawa, kama ni uwezo umegota bora ukimbie kwa visingizio kama yule mwingine kabla ya fedheha ambayo hutoweza kujitetea.

Ukibebwa, jishikie!
Aache pigo za kishog@.

Ana code za kishog@ Sana Yule dogo, huwa simuelewi kabisa, kubenua benua midomo, mikono kuilegeza, macho kuyafanya Kama binti, na the way wanavyoongea na vimisemo vya kishog@

Au ndo mdudu keshaingia kwenye embe?
 
Aache pigo za kishog@.

Ana code za kishog@ Sana Yule dogo, huwa simuelewi kabisa, kubenua benua midomo, mikono kuilegeza, macho kuyafanya Kama binti, na the way wanavyoongea na vimisemo vya kishog@

Au ndo mdudu keshaingia kwenye embe?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hivi mdudu huwa anaingiaje kwenye embe.?
 
Ada ya mja hunena, muungwana ni vitendo!

Sikia hii, labda kama umezaliwa kuishi na kufa (kimziki) ndani ya WCB. Pengine unalijua hili, na huna cha kufanya kwa maana uwezo wako ndo umeishia hapo.

Madogo wanakuja, madogo wanakua na wanaondoka. Huoneshi kujitanua, ulisikika vema ulipoingia lakini sasa hali ni mbaya.

Usije kusema hujaambiwa, kama kuna wanaokusifia kuwa bado ni mkali basi ujue wanakulamba kisogo. Labda kama una ‘ukali’ mwingine unaokutetea na kukuongezea mbeleko.

Niliwahi kuwa shabiki yako, nyimbo zako kadhaa ziliwahi kunirahisishia ‘kazi’ mahali fulani. Nalazimika kuendelea kukukubali kama sehemu ya fadhila, ila usipoamka utaona vumbi tu.

Siku ukifurushwa hapo ndo akili zitakukaa sawa, kama ni uwezo umegota bora ukimbie kwa visingizio kama yule mwingine kabla ya fedheha ambayo hutoweza kujitetea.

Ukibebwa, jishikie!
 
Back
Top Bottom