Lavalava ni bundi aliyetua WCB.

Umemkosea adabu sana lava lava ni fundi kuliko wote hapo WCB

Sent using Jamii Forums mobile app
 
simpigii debe sheta,huyo sheta ni mfano tu

Na tukimtaka hatumkosi
 
Lini niliwahi kumuongelea lavalava?

sijui kusearch,uliileta kama post,sio topic,yes,nakukumbuka sana ulisema maneno hayo hayo ya muimba qaswida,embu kiukweli embu tuambie,una uwezo wa kuimba wa kumfikia lava lava? chuki kwa kijana mwenzio inatoka wapi?
 
sijui kusearch,uliileta kama post,sio topic,yes,nakukumbuka sana ulisema maneno hayo hayo ya muimba qaswida,embu kiukweli embu tuambie,una uwezo wa kuimba wa kumfikia lava lava? chuki kwa kijana mwenzio inatoka wapi?
Mimi sio msanii ila ni mdau mkubwa wa sanaa na muziki kiujumla.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…