Lavalava ni bundi aliyetua WCB.

Ulitaka aimbe ki kwaya kwaya?
 
honestly speaking,sivutiwi na uimbaji/mpangilio wa sauti wa huyu dogo kutokana issue hiyo...u-madrasa wake ni kero kwa wengine.

asante kama ulishawahi kuligusia hili.

Mi Napenda Wakata Viuno na Waimba mapambio Kama wagalatia Wakiwa makanisani
 
We ni nani kwenye hiyo lebel... Back voko ama ndio babutale...

Kijana lavalava ndivyo alivyo ni mpole hana mashauzi.. Alafu swala LA mavazi hapangi yeye aliye mbadili qboy msafi no nani kama hayupo basi wenzie wanamuhujumu hawampi ushauri
Uko sahih
 
Nyimbo zake nazipenda Sana hazichoshi kusikiliza sio km za wenzake za wengine ndani ya Web, siku Mbili hutamani kuzisikiliza tena. Nampenda Sana
 
Wewe mtoa mada ni Jembe LA uongooo acha wivu
 
yaani umeongelea chuki yako binafsi na lava lava sio kana kwamba diamond show zote anapokelewa fresh yale ni matokeo tu ya show. but ukiweka uzi kama huu uandae sababu za msingi za kumchambua mtu vema. unanua maana ya ushamba au kuvaa kishamba? wewe unavaa kijanja?? yepi mavaz ya kijanja na yepi ya kishamba?? mind yourself. unaweza ukawa unazo akili ila namna ya kuzitumia usijue ndio inapelekea ukaonekana punguani.
 
Hance huyu lavalava alikunyakulia nini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
ANAYEWAHARIBIENI LEBO YENU KAMA HAMJUI NI QUEEN DARLEEN(DADA WA DIAMOND).KUIMBA HAJUI ANGEMUOMBA KAKA YAKE AMPE MTAJI WA BIASHARA
 
Huyu naye angekamata jimama limoja limboost nyota kama wenzie!maana nyota yake imefifia hadi tulishamsahau.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…