Lavalava ni bundi aliyetua WCB.

Lavalava ni bundi aliyetua WCB.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ana haibu sana afu ni mpole ajui ku ishi kistaaa ila co mbaya atazoea tu kama harmonize nae c alkuaga ivyo ivyo
 
acha chuki , Lavalava anajua sana mbona mimi binafsi namkubali kuliko hata hao unaowaona wewe wazuri labda... wimbo wake wa bora tuachane ni mzuri sana sana, anajua kutumia lafudhi ya Kiswahili vizuri

yaani wimbo ule na wa somo wa kassim mganga nikiusikia najiskia kama kweli niko pwani ya africa mashariki
Kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakika hakuna kitu I'mnilichochukia na ninachoendelea kuchukia kama kusainishwa na kuendelea kumuona Lavalava WCB.

Huyu muimba kaswida hafai kabisa kuwepo ndani ya kundi na tangu aingie WCB anazidi kutuongezea mikosi tu.

Ni mara mia nafasi yake tungebahatika kumpata mtu kama Shetta au hata huyu bwana mdogo Neddy kuliko huyu aliyetoroka madrassa na kuja kutuletea mikosi tu ndani ya WCB.


Hata katika wimbo wa zilipendwa kipande chake kibovu sana ,pale angekaa Shetta ,Shettani au baba Qaylah ingekuwa poa sana.


Huyu lavalava kwanza kakaa kishamba shamba halafu damu ya nguo hana kabisa.

Bora hata akaimbe baikoko ndio saizi yake , huku kwingine hakuwezi kabisaaa.

View attachment 582949
Mi mwenyewe mwanzo nlikua simuelewi kama wewe

kiukweli hana muonekano wa kisanii ana umbo baya sana hapendezi ata avae nn

ila anafanya mziki mzuri koo muache aendelee kula matunda yake maana kilichompeleka pale ni kazi
 
Mi mwenyewe mwanzo nlikua simuelewi kama wewe

kiukweli hana muonekano wa kisanii ana umbo baya sana hapendezi ata avae nn

ila anafanya mziki mzuri koo muache aendelee kula matunda yake maana kilichompeleka pale ni kazi
Una umri gani mkuu?
 
Dah..! Inasikitisha sana,yaani aliyeandika hii thread ni mwanaume!?? Kweli wanaume wanazidi kuisha Duniani. Mwanaume unafuatilia mpaka anavyovaa mwanaume mwenzio duh..!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Useless topic na mtoa mada wewe ni Useless sasa Logic iko wap naona umejawa na chuki na husuda wewe tena mtoto mwanaume unaona wivu na chuki kwa mwanaume mwenzio...toa logic apo tukuelewe Bundi kivp na mikosi kivp...bas kama vip nenda wewe bas pumbuf ww[emoji23][emoji23][emoji23] alaah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wadau.

Lava Lava naona kama anakosa ubunifu wa kuendana na soko.

Nawaza tu WCB walitumia vigezo gani kumsajili Lava Lava? Naona anafanyiwa uwekezaji mkubwa ila muziki wake hauendani na soko.

Wadau mnamuonaje Lava Lava?
 
Back
Top Bottom