Lavalava wa WCB amejipata kisawasawa

Lavalava wa WCB amejipata kisawasawa

Nasikiliza nyimbo za aina nyingi, rnb, hip-hop, afro, you name it. except takataka za Bongo fleva sijui diamond, mara lavalava straight trash music. Bora ata kuna muda harmonize ana bahatisha quality na melody. But for the most part TRASH.
[emoji2][emoji2][emoji2] unasema takataka za Bongo fleva, halafu unasema angalau Konde boy, mkuu hakuna unachokijua ni chuki tu uliyonayo kwa baadhi ya wasanii.
 
Sina timu wala chama. Mi natoa facts tu. Naona yule ana afadhali japo sio nyimbo zote, kuna code kaigundua.
 
[emoji2][emoji2][emoji2] unasema takataka za Bongo fleva, halafu unasema angalau Konde boy, mkuu hakuna unachokijua ni chuki tu uliyonayo kwa baadhi ya wasanii.
Ata siwajui ntawachukiaje? Nachukia mziki mbovu na nitasema tu. Siwezi kupollute ubongo wangu na matakataka.
 
Ata siwajui ntawachukiaje? Nachukia mziki mbovu na nitasema tu. Siwezi kupollute ubongo wangu na matakataka.
Kama unachukia metatarsal ya bongofleva unampendaje kondeboy?
 
Sawa mkuu,ila hiyo ngoma haiwezi kuingia kwenye playlist yangu!
Unauelewa mdogo, Kunatifauti kati ya ngoma mzuri iliyo-HIT na ngoma mzuri ya kusikiliza Note that.

Enjoy ya Jux ft Mond ni ngoma mzuri na kali na ina-HIT kwa energy iloyopo kwenye ngoma ila kwangu Mimi haiwezi kuwa kwenye PLAYLIST yangu most ya ngoma ambazo nasikila kwenye playlist ni za taratibu mfano 'Utu' 'Nipepee' sio za CLUB ila hii haimaanishi Club Bunger kama ENJOY kuwa ngoma mbaya kwangu.
 
Lavalava ni msanii mkali ila alikuwa anapokea negative comment kwamba ana gundu, hasapotiwi na Wasafi ila tunaojua mziki tuliona sio kweli eti ana gundu au hasapotiwi kwasababu pamoja na hayo maneno still alikuwa anatoa hit song na kupata shows nyingi.

Shida ya Lavalava ilikuwa ni kutotoa nyimbo nyingi ndani ya mwaka lavala anaweza kuachia ngoma 1 ndani ya mwaka hii ndio ilikuwa inamfelisha mfano diamond anaweza asiachie ngoma nyingi lakini ana showbiz nyingi inayomfanya azungumziwe tofauti na Lavalava ndio maana watu wanamsahau.

Sasa hivi kabadilisha huo utaratibu wake ngoma yake ya Tajiri imehit na tena ametoa wimbo mwingine nao unafanya poa sana akaendelea hivi hivi atateka soko

Makabila si alisema kwamba wamemroga hata aimbe vipi haonekani? Tajiri huna adui.
 
Unauelewa mdogo, Kunatifauti kati ya ngoma mzuri iliyo-HIT na ngoma mzuri ya kusikiliza Note that.

Enjoy ya Jux ft Mond ni ngoma mzuri na kali na ina-HIT kwa energy iloyopo kwenye ngoma ila kwangu Mimi haiwezi kuwa kwenye PLAYLIST yangu most ya ngoma ambazo nasikila kwenye playlist ni za taratibu mfano 'Utu' 'Nipepee' sio za CLUB ila hii haimaanishi Club Bunger kama ENJOY kuwa ngoma mbaya kwangu.
Tunatofautiana na ndio maana mimi nikasema kwangu haiwezi kuingia kwa playlist!
Kuna hit kibao za club ila zipo kwa playlist yangu!
So usilazimishe unachopenda wewe na mwingine apende hicho hicho!
 
Back
Top Bottom