Lavrov wa Urusi awavunja mbavu wajumbe G20 India

Lavrov wa Urusi awavunja mbavu wajumbe G20 India

Elewa Kiingereza wewe si kurukia rukia mambo tu!
Waziri wa Russia anasema vita iliyoanzishwa kwa kuitumia Ukraine!
Huyo Waziri ana akili kubwa sana usidhani kwa hicho kichwa chako cha kufugia nywele utamuelewa!
Pumba tupu; kwa nini walimcheka? Unadhani nao hawajui kiingereza na hawana akili?

Kutoka kuwa na "Special Military Operation" hadi kuwa "War Against Us" ni flipping ya nguvu sana.

Halafu viongozi wa Magharibi waliwabembelea sana urusi waachane na vita ila wafanye diplomacyy lakini wao wakakimbilia special military operation nadhani wakitegemea kuwa watamrudisha Viktor Yanukovych madarakani kirahisi ili Ukraine iwe kama Belarus ila wakakumbana na kigingi.

Huyu Chief Spy wake aliyejaribu kumuonya Putin kuwa vita siyo nzuri alifanyiwa nini



Viongozi waliokwenda kumwomba Putina aachane na vita ni pamoja na hawa

RZJPPD7F4NLYNBX6WJUAQPSP5U.jpg

_126710251_gettyimages-1238499115.jpg

unifeed220427e.jpg
 
Pumba tupu; kwa nini walimcheka? Unadhani nao hawajui kiingereza na hawana akili?

Kutoka kuwa na "Special Military Operation" hadi kuwa "War Against Us" ni flipping ya nguvu sana.

Halafu viongozi wa Magharibi waliwabembelea sana urusi waachane na vita ila wafanye diplomacyy lakini wao wakakimbilia special military operation nadhani wakitegemea kuwa watamrudisha Viktor Yanukovych madarakani kirahisi ili Ukraine iwe kama Belarus ila wakakumbana na kigingi.

Huyu Chief Spy wake aliyejaribu kumuonya Putin kuwa vita siyo nzuri alifanyiwa nini



Viongozi waliokwenda kumwomba Putina aachane na vita ni pamoja na hawa

RZJPPD7F4NLYNBX6WJUAQPSP5U.jpg

_126710251_gettyimages-1238499115.jpg

unifeed220427e.jpg

How do you mean??
 
Wa afghanistan ndio hao wamarekani?? Jifunze taratibu zingatia wakati,wahusika,mahali na uhalisia!! Kaa hapo kwanza
Kivipi mjomba????Ina maana mwaka 1979 wale mujaheed waliokua wanapigana umoja wa Soviet nchini afghastan walikua wamarekani msomi????
 
Kwa kweli akili ni nywele na kila mtu ana zake.

Katikati ya uhasama usiothamini tena maisha ya watu wengine, Urusi iliingizana G20 mkutanoni na kichekesho cha mwaka:



View attachment 2537591

Kumbe Urusi inapambana kuisimamisha vita iliyoanzishwa na Ukraine dhidi yake. 🤣🤣

Kwamba huo haswa ndiyo uelewa wa akina Yericko Nyerere na wale warusi wa pale Buza.

Ama kweli duniani hakutaisha vituko.

Kajifunze kizungu vzr,Lavrov hakuwachekesha wajumbe,alichekwa "laughed at"not made them laugh!!
Jamaa alichekwa kwa kauri zake kwamba Urusi ilikuwa inazuia vita Ukraine.
 
Wa afghanistan ndio hao wamarekani?? Jifunze taratibu zingatia wakati,wahusika,mahali na uhalisia!! Kaa hapo kwanza
Umekwepa swali langu msomi.Kwahiyo hata wale mujaheedin waliokua wanapigana na urusi mchini afghastani kuanzia mwaka 1979 mpaka 1989 walikua mashoga?????Maaana kila anaepigana na urusi wewe unamuita shoga.Vp hao islamic mujaheedin walikua mashoga??
 
Kajifunze kizungu vzr,Lavrov hakuwachekesha wajumbe,alichekwa "laughed at"not made them laugh!!
Jamaa alichekwa kwa kauri zake kwamba Urusi ilikuwa inazuia vita Ukraine.
Umeisoma mada yote vizuri lakini? Au ndiyo kurukia treni kwa mbele? 🤣🤣
 
Back
Top Bottom