- Thread starter
- #141
Yani wewe mtoa mada inaelekea kwenye masuala ya kimataifa ni bwege mtozeni kabisa. Kama huwezi kuelewa ni nini Lavrov anamaanisha kwa kusema hivyo, sijui kama sisi tunaweza kukuelewesha.
Nikukumbushe kuna aliyekutambua kuwa na IQ kama ya kuku. Nikushauri upange kumshukuru kwani amekupendelea!