Lavrov wa Urusi awavunja mbavu wajumbe G20 India

Lavrov wa Urusi awavunja mbavu wajumbe G20 India

Endelea kukaa hivyohivyo ili uendelee kuchelewa huku Ukraine akitumiwa na kutumika kinyume na maumbile.

Pana ujumbe wenye kukuhusu sana hapa:

FpojyuNWIAAJNp3.jpeg


Hauko peke yako. Uko na wenzako.
 
Look at the map of Europe and compare the NATO area in 1998 to the NATO area in 2022 (plus Finland & Ukraine) it's quite clear who is the true agitator, the real instigator

Ulielewa mada yenye subject, content na scope? Kicheko kama kilivyonukuliwa ni sehemu ya mada hii. Nikukumbushe kuwa hapo kacheka hadi mchina isipokuwa mrusi wa buza.
 
Elewa Kiingereza wewe si kurukia rukia mambo tu!
Waziri wa Russia anasema vita iliyoanzishwa kwa kuitumia Ukraine!
Huyo Waziri ana akili kubwa sana usidhani kwa hicho kichwa chako cha kufugia nywele utamuelewa!
Watanzania kweli akili ni ya popo,
Yaani wewe uende kwa mtu uanze kumpiga kisha useme yeye ndo kaanzisha vita.
Kama ulitaka kujilinda si ungesubili arushe mawe kwako?
 
Marekani ni mchokozi wa asili na bahati mbaya watu wengi hawaoni.

Kitu anachofanya marekani cha kumpatia Teiwani silaha nzito za kijeshi ni uchokozi dhidi ya China lakini watu wengi hawaoni na jambo hili litaleta vita hapo mbeleni.

Kitu hicho hicho anachokifanya marekani kwa Teiwani akakifyanya China mfano pale Panama basi itaonekana otherwise.


Ndio maana nasema hapa duniani bora kinuke tu tuanze moja maana kuna ujinga mwingi sana

Umeandika kwa mada ipi mjomba?

Hii inahusu kichekesho na watu waliocheka wamenukuliwa kwa sababu ma sauti.

Jiridhishe upo kwenye mada mjomba.
 
Umeandika kwa mada ipi mjomba?

Hii inahusu kichekesho na watu waliocheka wamenukuliwa kwa sababu ma sauti.

Jiridhishe upo kwenye mada mjomba.
Wewe hicho kicheko unakitafasili vipi? Tuanzie hapo kwanza
 
Wewe hicho kicheko unakitafasili vipi? Tuanzie hapo kwanza

Sikutafsiri lolote kwenye mada hiyo. Mwenye clip ametafsiri pia. Tafsiri yake ndiyo niliyoiweka.

Mwenye tafsiri alikuwapo kwenye eneo la tukio. Yeye pamoja na wawakilishi wa serikali yake.

Kwamba juu ya hayo ungali unadhani unayo tafsiri bora zaidi wewe hapo Kwa mtogore?

Hamjihurumii wapuuzi nyie?
 
Sikutafsiri lolote kwenye mada hiyo. Mwenye clip ametafsiri pia. Tafsiri yake ndiyo niliyoiweka.

Mwenye tafsiri alikuwapo kwenye eneo la tukio. Yeye pamoja na wawakilishi wa serikali yake.

Kwamba juu ya hayo ungali unadhani unayo tafsiri bora zaidi wewe hapo Kwa mtogore?

Hamjihurumii wapuuzi nyie?
Kumbe uko mjinga kiasi hiki 🤣🤣🤣

Ongera kwa kukubaliana na tafsiri ya mwandishi
 
Kwa kweli akili ni nywele na kila mtu ana zake.

Katikati ya uhasama usiothamini tena maisha ya watu wengine, Urusi iliingizana G20 mkutanoni na kichekesho cha mwaka:



View attachment 2537591

Kumbe Urusi inapambana kuisimamisha vita iliyoanzishwa na Ukraine dhidi yake. 🤣🤣

Kwamba huo haswa ndiyo uelewa wa akina Yericko Nyerere na wale warusi wa pale Buza.

Ama kweli duniani hakutaisha vituko.

Well articulated by our foreign minister comrade lovrov
 
Alichomaanisha huyo Waziri na lugha iliyotumika hukuielewa. Hiyo vita Ukraine ni chambo.

Nikurudishe nyuma kidooogo tu, kipindi DT anaingia madarakani pale US, democratic walilalamika kuwa Urus kaingilia mfumo wao na kumuwezesha DT kushinda.

DT na Republic yake wakadai Joseph B anakishinikiza chama chake kusema hivyo kwakuwa tu kijana wake anafanya biashara nchini Ukraine hivyo anahisi huenda Urus ikawa kikwazo kwa kijana wake kuendelea na biashara yake.

Hapo nimekurudisha nyuma kidoooooogo sana.
Km utakuwa na nia ya kuelewa elewa,km una mgomo wa kuelewa nami sina nia ya kukulazimisha.

Kwamba uliyeelewa ni wewe kumzidi mwenye clip ambaye ndiye mwenye tafsiri?

Zingatia tafsiri si yangu bali ni ya BBC aliyekuwapo sehemu ya tukio in person juu ya kuwa serikali yake iliwakilishwa kikamilifu.

Angalizo amechekwa mrusi pale unanimously!

Au wewe huisikii sauti ya mchina mle?
 
Mimi najua katika kucheka kuna mambo mawili

1. Kumuona anachokiongea ni kitu cha uongo
2. Lugha na style aliyotumia muongeaji iliwachekesha
 
Kumbe uko mjinga kiasi hiki 🤣🤣🤣

Ongera kwa kukubaliana na tafsiri ya mwandishi

Katika wajinga wewe si ni babalao?

Wewe uwe na tafsiri bora kuliko ya mwandishi? Wewe hiyo si ni incurable psychiatric case? 🤣🤣🤣
 
Walimcheka kwakuwa ndivyo walivyo panga na siyo kwamba walimcheka kwa kusema hivyo (kumsojodoa).

Waliijua hotuba yake? Kwani wao ni mizuka? Zaidi sana mchina hadi waalikwa waliokuwapo wakiwamo waandishi walimcheka tena Kwa kumzoda.
 
Mimi najua katika kucheka kuna mambo mawili

1. Kumuona anachokiongea ni kitu cha uongo
2. Lugha na style aliyotumia muongeaji iliwachekesha

Hayo ya kwako baki nayo tu huko kwa mtogore. Tuache kuwasikiliza BBC waliokuwa kwenye tukio tukusikilize mbechile wewe? TBC tu hatuna habari naye uje kuwa wewe jombi? Kwa kutuona je vile?
 
Back
Top Bottom