ASIWAJU
JF-Expert Member
- Nov 18, 2022
- 1,938
- 1,632
Sura ipi tofauti kwa sasa, nielezee ?Mzozo wa China na Taiwan una sura tofauti kabisa na huo wa Urusi na Ukraine.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sura ipi tofauti kwa sasa, nielezee ?Mzozo wa China na Taiwan una sura tofauti kabisa na huo wa Urusi na Ukraine.
Kaanzishe uzi mwingine uniite hukoSura ipi tofauti kwa sasa, nielezee ?
Njia nyepesi ya kukimbia kujibu swali umeona hiyo ?Kaanzishe uzi mwingine uniite huko
Chief acha utoto na jaribu kuwa siriaz.Habari imeishia tu hapo?
Halafu unasema umeelewa?
Nenda kaisome upya mpaka maneno ya mtoa mada aliyoandika kwa lugha nyepesi kwako mwishoni mwishoni huko.
Aiseee. Dah!!!.Nimegundua pia kuwa unadhani kuwa kwakuwa ni wajumbe wa G20 basi hawana hila dhidi m
Ingekuwa anahitaji mada pekee ndiyo izungumzwe asingeongeza maneno yake.
Alichokiongeza kwa maana ya utashi wake ndicho nilichokiongelea. Na km wewe pia ni km yy ni bora ukawa mpenzi mtizamaji wa hiyo vita.
Kimtu kijinga kamawewe kiko uswahilini kinashabikia marekani kuitawala dunia ili ieneze uchafu wanaotaka!! Hiyo marekani ilipoingia Iraki ulikuwa umezaliwa? Uliona nivema? Unawelewa wajinsi walivyoibomoa USSR? Mambo yandaani tuwaachie wenye akili kubwa sisi tuwaombeeUtashangaa kuona vijitu vya huko msimbazi, magomeni mapipa, buguruni na wapi vinashabikia uharibifu na mauaji ya watu Ukraine! Vi watu vingine vipo tu nyuma ya Russia kwa sababu wanaona Russia ni mpinzani wa Marekani ambaye hawa wapuuzi wameaminishwa kuwa Marekani ni anti Islam! Acheni ujinga wenu enyi akina yakhe!
Wa afghanistan ndio hao wamarekani?? Jifunze taratibu zingatia wakati,wahusika,mahali na uhalisia!! Kaa hapo kwanzaMso
Msomi bila neno ushoga huwezi kuchangia mada.Kwahiyo waafghanstan walipokua wanapigana na warusi walikua mashoga pia???
Muzee umepotea njia? Uvccm imefuata nini hapa?Uvccm kazini
weKimtu kijinga kamawewe kiko uswahilini kinashabikia marekani kuitawala dunia ili ieneze uchafu wanaotaka!! Hiyo marekani ilipoingia Iraki ulikuwa umezaliwa? Uliona nivema? Unawelewa wajinsi walivyoibomoa USSR? Mambo yandaani tuwaachie wenye akili kubwa sisi tuwaombee
Jifunze kuwa mfuasi wa Mungu siyo mfuasi wa dini na viongozi wako wa makanisa we mtoto.... nonesense!!Wewe mswahili mujahidina wa hapo mwanakwerekwe acha ukafiri. Kweli wewe ulipendezwa na udikteta na ukatili wa Saadam Hussein kule Iraq?!!! Au kwasababu ni yakhe mwenzio ndio unaumia roho kwa yeye kuondokewa? Cha ajabu nyie akina yakhe kila siku ndio mnamwomba mola awapeleke Marekani na Ulaya. Nendeni Yemen na huko Iraq kama mnaamini katika waislamu wenzenu!
we
Njia nyepesi ya kukimbia kujibu swali umeona hiyo ?
Nimegundua pia kuwa unadhani kuwa kwakuwa ni wajumbe wa G20 basi hawana hila dhidi m
Ingekuwa anahitaji mada pekee ndiyo izungumzwe asingeongeza maneno yake.
Alichokiongeza kwa maana ya utashi wake ndicho nilichokiongelea. Na km wewe pia ni km yy ni bora ukawa mpenzi mtizamaji wa hiyo vita.
Hii mada uliomwelekeza mleta mada asome ili kumpa uelewa haina Jambo jipya na Wala haitoi majibu ya kile unachomkosoa.Mtoa mada ebu soma hiyo habari labda itakusaidia kujua context ya kauli ya Lavrov. Nina assume unajua hiyo lugha.
![]()
Western Officials Admitted Involvement in Ukraine Conflict, Says Serbian President
Serbian President Aleksandar Vucic said Western officials, in conversations with him, admitted involvement in the conflict in Ukraine and increasing pressure on Serbia due to Belgrade's refusal to support anti-Russian sanctions.sputniknews.com
Ninachokijua wewe na huyo unayemuona shujaa wako wote mko ndani ya nchi tajwa.Watu kama wewe Dk. Mollel aliwaona. Kipi nilichongeza kilicho kupa wewe makasiriko haya ewe Mrusi mwitu.
View attachment 2538003
Chief acha utoto na jaribu kuwa siriaz.
Fanya jambo moja, ngoja ni ashumu kuwa habari haikomei hapo, kuna maelezo ya ziada. Naomba usikilinshot kipande cha habari hii inapooshesha kuwa wajumbe wa G20 walilia na kulaani uvamiiza wa Ukraine iliofanya dhidi ya urusi.
Ninachokijua wewe na huyo unayemuona shujaa wako wote mko ndani ya nchi tajwa.
Unataka kusema baada ya taarifa uliyoileta kwa kiingereza iliambatana na maneno ya Kiswahili?
Hiyo kazi kafanye wewe ambaye unaona kuwa alichokisema huyo Mrusi na walichocheka hao G20 wengine walikuwa na tafsiri sawa.Chief acha utoto na jaribu kuwa siriaz.
Fanya jambo moja, ngoja ni ashumu kuwa habari haikomei hapo, kuna maelezo ya ziada. Naomba usikilinshot kipande cha habari hii inapooshesha kuwa wajumbe wa G20 walilia na kulaani uvamiiza wa Ukraine iliofanya dhidi ya urusi.