Lavrov wa Urusi awavunja mbavu wajumbe G20 India

Lavrov wa Urusi awavunja mbavu wajumbe G20 India

Kwamba? 🤣🤣
Alichomaanisha huyo Waziri na lugha iliyotumika hukuielewa. Hiyo vita Ukraine ni chambo.

Nikurudishe nyuma kidooogo tu, kipindi DT anaingia madarakani pale US, democratic walilalamika kuwa Urus kaingilia mfumo wao na kumuwezesha DT kushinda.

DT na Republic yake wakadai Joseph B anakishinikiza chama chake kusema hivyo kwakuwa tu kijana wake anafanya biashara nchini Ukraine hivyo anahisi huenda Urus ikawa kikwazo kwa kijana wake kuendelea na biashara yake.

Hapo nimekurudisha nyuma kidoooooogo sana.
Km utakuwa na nia ya kuelewa elewa,km una mgomo wa kuelewa nami sina nia ya kukulazimisha.
 
Alichomaanisha huyo Waziri na lugha iliyotumika hukuielewa. Hiyo vita Ukraine ni chambo.

Nikurudishe nyuma kidooogo tu, kipindi DT anaingia madarakani pale US, democratic walilalamika kuwa Urus kaingilia mfumo wao na kumuwezesha DT kushinda.

DT na Republic yake wakadai Joseph B anakishinikiza chama chake kusema hivyo kwakuwa tu kijana wake anafanya biashara nchini Ukraine hivyo anahisi huenda Urus ikawa kikwazo kwa kijana wake kuendelea na biashara yake.

Hapo nimekurudisha nyuma kidoooooogo sana.
Km utakuwa na nia ya kuelewa elewa,km una mgomo wa kuelewa nami sina nia ya kukulazimisha.

Habari inasema" Ravrov amechekwa baada ya kusema Ukraine ilivamia Urusi" kauli hiyo ikafanya wajumbe wa mkutano wacheke.. Sasa wewe habari za chombo mara DT zimetoka wapi na unataka kujaribu kueleza nini hasa?. 🤣
 
Utashangaa kuona vijitu vya huko msimbazi, magomeni mapipa, buguruni na wapi vinashabikia uharibifu na mauaji ya watu Ukraine! Vi watu vingine vipo tu nyuma ya Russia kwa sababu wanaona Russia ni mpinzani wa Marekani ambaye hawa wapuuzi wameaminishwa kuwa Marekani ni anti Islam! Acheni ujinga wenu enyi akina yakhe!
Kwa kweli akili ni nywele na kila mtu ana zake.

Katikati ya uhasama usiothamini tena maisha ya watu wengine, Urusi iliingizana G20 mkutanoni na kichekesho cha mwaka:



View attachment 2537591

Kumbe Urusi inapambana kuisimamisha vita iliyoanzishwa na Ukraine dhidi yake. 🤣🤣

Kwamba huo haswa ndiyo uelewa wa akina Yericko Nyerere na wale warusi wa pale Buza.

Ama kweli duniani hakutaisha vituko.


Pole mtoa mada, nadhani hiyo kauli ya kiusalama imezidi uwezo wako wa kufikiri kwa mbaaaali sana.

Mtoa mada wewe utakuwa umechangsnyikiwa fata huduma za kisaikolojia

Elewa Kiingereza wewe si kurukia rukia mambo tu!
Waziri wa Russia anasema vita iliyoanzishwa kwa kuitumia Ukraine!
Huyo Waziri ana akili kubwa sana usidhani kwa hicho kichwa chako cha kufugia nywele utamuelewa!

Warusi wa Buza wanatoa tafsiri zao, sijui hawaoni matini halisi!!? 😁

Jamiiforums Imeviwa
Mtoa mada Uwezo wake Unaishia kwenye Mada Za Dadapoa Huku Achana Nako

Hawa wanaoshawishiwa na wamarekani na wachumba zake kuichukia urusi ikosiku watashawishiwa kuwa mashoooo...
Marekani ni wapuuzi na wanapaswa kukutana na visiki kama Putin ndowajue si kila upuuzi wao utapokelewa na dunia.
Hiroshima inafaa irudishwe Nyuyoku nadhani seputemba ileveni haikufundisha vyema. Tuikaripie minchi chokozi inayotaka kutawaka dunia
vita nimbaya lakini kutawaliwa nikubaya zaidi
 
Habari inasema" Ravrov amechekwa baada ya kusema Ukraine ilivamia Urusi" kauli hiyo ikafanya wajumbe wa mkutano wacheke.. Sasa wewe habari za chombo mara DT zimetoka wapi na unataka kujaribu kueleza nini hasa?. 🤣
Km nimeandika kwa lugha nyepesi hivyo umeshindwa kunielewa ndo kilichoandikwa kwa ki-Malikia tena kwa lugha ya picha utakielewa kweli?
 
Kwa kweli akili ni nywele na kila mtu ana zake.

Katikati ya uhasama usiothamini tena maisha ya watu wengine, Urusi iliingizana G20 mkutanoni na kichekesho cha mwaka:



View attachment 2537591

Kumbe Urusi inapambana kuisimamisha vita iliyoanzishwa na Ukraine dhidi yake. 🤣🤣

Kwamba huo haswa ndiyo uelewa wa akina Yericko Nyerere na wale warusi wa pale Buza.

Ama kweli duniani hakutaisha vituko.

Marekani ni mchokozi wa asili na bahati mbaya watu wengi hawaoni.

Kitu anachofanya marekani cha kumpatia Teiwani silaha nzito za kijeshi ni uchokozi dhidi ya China lakini watu wengi hawaoni na jambo hili litaleta vita hapo mbeleni.

Kitu hicho hicho anachokifanya marekani kwa Teiwani akakifyanya China mfano pale Panama basi itaonekana otherwise.


Ndio maana nasema hapa duniani bora kinuke tu tuanze moja maana kuna ujinga mwingi sana
 
Wajumbe wa G20 wamecheka baada ya kusikia huo upumbavu wa Ravrov ila wewe muuza kangara wa ikwiriri umeumia, umekuja na tafsiri yako nje na iliyofanya wajumbe wacheke😂😂. Tabu kweli kweli.
Kwa akili yako kubwa umegundua kuwa mimi naongelea kipi kati ya mada na alichokisema (alichoongeza mtoa mada?)
 
Km nimeandika kwa lugha nyepesi hivyo umeshindwa kunielewa ndo kilichoandikwa kwa ki-Malikia tena kwa lugha ya picha utakielewa kweli?
Kama, kama, kama nini? Unataka kuashumu nini?.
Acha assumptions.. Ngoja nikukumbushe habari. Ravrov kachekwa baada ya kusema Ukraine iliivamia Urusi.basi we ilete hii habari kwa kilatino ili iwe na maana nyingine. Naona unataka kutumia kichaka cha lugha kukwepa hoja.
Bhodogo bhwa ngosha.
 
Kwa akili yako kubwa umegundua kuwa mimi naongelea kipi kati ya mada na alichokisema (alichoongeza mtoa mada?)
Ninakuuliza tena, unataka kujaribu kusema nini?. Kwamba unaongelea jambo jingine kabisa na mada hii iliyopo hapa kwasasa?. Unataka kusema umeanzisha uzi ndani ya uzi? Na mwenye uzi anajua kuwa umeanzisha nyingine mada ndani ya mada yake ikiwa kweli unaongelea jambo jingine na alilolifungulia uzi?.
Kuwa siriaz bhasi😕
 
Wajumbe wa G20 wamecheka baada ya kusikia huo upumbavu wa Ravrov ila wewe muuza kangara wa ikwiriri umeumia, umekuja na tafsiri yako nje na iliyofanya wajumbe wacheke😂😂. Tabu kweli kweli.

Hiyo ndiyo Tanzania mjomba kujua kwingiii .. 🤣🤣
 
Wajumbe wa G20 wamecheka baada ya kusikia huo upumbavu wa Ravrov ila wewe muuza kangara wa ikwiriri umeumia, umekuja na tafsiri yako nje na iliyofanya wajumbe wacheke😂😂. Tabu kweli kweli.
Nimegundua pia kuwa unadhani kuwa kwakuwa ni wajumbe wa G20 basi hawana hila dhidi m
Ninakuuliza tena, unataka kujaribu kusema nini?. Kwamba unaongelea jambo jingine kabisa na mada hii iliyopo hapa kwasasa?. Unataka kusema umeanzisha uzi ndani ya uzi? Na mwenye uzi anajua kuwa umeanzisha nyingine mada ndani ya mada yake ikiwa kweli unaongelea jambo jingine na alilolifungulia uzi?.
Kuwa siriaz bhasi😕
Ingekuwa anahitaji mada pekee ndiyo izungumzwe asingeongeza maneno yake.
Alichokiongeza kwa maana ya utashi wake ndicho nilichokiongelea. Na km wewe pia ni km yy ni bora ukawa mpenzi mtizamaji wa hiyo vita.
 
Kama, kama, kama nini? Unataka kuashumu nini?.
Acha assumptions.. Ngoja nikukumbushe habari. Ravrov kachekwa baada ya kusema Ukraine iliivamia Urusi.basi we ilete hii habari kwa kilatino ili iwe na maana nyingine. Naona unataka kutumia kichaka cha lugha kukwepa hoja.
Bhodogo bhwa ngosha.
Habari imeishia tu hapo?
Halafu unasema umeelewa?
Nenda kaisome upya mpaka maneno ya mtoa mada aliyoandika kwa lugha nyepesi kwako mwishoni mwishoni huko.
 
Chanzo cha hiyo habari kinajulikana mrengo wake, ni vigumu kuaminika.

Kwanini huyo Marekani asiidhoofishe kwanza China ambaye ni mpinzani wake mkubwa kwa sasa na tajiri kuliko Urusi ?
Una fuatilia kinacho endelea Taiwan ?
 
Uelewa wako ni kiduchu sana aisee. Urusi alianzisha hii operesheni kuwahi maandalizi ya vita dhidi yake. Yaani kama Urusi asingeipiga Ukraine yeye ndo angevamiwa kivita na mashoga ya Ulaya na Marekani
Kuna watoto wengi sana humu japo siyo kiumri hawayajui haya mambo.

Pengine ni kwakuwa tu wanaweza kuandika ndiyo maana wanaandika.
NJe ya kuandika hawajui kuwa Ukraine anatumiwa na anatumika kwerikweri 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kwa kweli akili ni nywele na kila mtu ana zake.

Katikati ya uhasama usiothamini tena maisha ya watu wengine, Urusi iliingizana G20 mkutanoni na kichekesho cha mwaka:



View attachment 2537591

Kumbe Urusi inapambana kuisimamisha vita iliyoanzishwa na Ukraine dhidi yake. 🤣🤣

Kwamba huo haswa ndiyo uelewa wa akina Yericko Nyerere na wale warusi wa pale Buza.

Ama kweli duniani hakutaisha vituko.

Lavrov huyu jamaa kwa propaganda hajambo.
 
Back
Top Bottom