Lavrov wa Urusi awavunja mbavu wajumbe G20 India

Lavrov wa Urusi awavunja mbavu wajumbe G20 India

Pole mtoa mada, nadhani hiyo kauli ya kiusalama imezidi uwezo wako wa kufikiri kwa mbaaaali sana.

Ndivyo mnavyo jifariji pale Buza? Yaliyosemwa kwa lafudhi fyongo pia yameandikwa Kwa kiingereza.

Angalizo kile si kiswahili. Yule bwana kageuka kituko pale Hata mchina kamcheka.

Bila shaka Hata Buza mmemcheka ila mko hapa kisebu sebu na kiroho papo. 🤣🤣
 
Hawa wanaoshawishiwa na wamarekani na wachumba zake kuichukia urusi ikosiku watashawishiwa kuwa mashoooo...
Marekani ni wapuuzi na wanapaswa kukutana na visiki kama Putin ndowajue si kila upuuzi wao utapokelewa na dunia.
Hiroshima inafaa irudishwe Nyuyoku nadhani seputemba ileveni haikufundisha vyema. Tuikaripie minchi chokozi inayotaka kutawaka dunia
vita nimbaya lakini kutawaliwa nikubaya zaidi
Mso
Hawa wanaoshawishiwa na wamarekani na wachumba zake kuichukia urusi ikosiku watashawishiwa kuwa mashoooo...
Marekani ni wapuuzi na wanapaswa kukutana na visiki kama Putin ndowajue si kila upuuzi wao utapokelewa na dunia.
Hiroshima inafaa irudishwe Nyuyoku nadhani seputemba ileveni haikufundisha vyema. Tuikaripie minchi chokozi inayotaka kutawaka dunia
vita nimbaya lakini kutawaliwa nikubaya zaidi
Msomi bila neno ushoga huwezi kuchangia mada.Kwahiyo waafghanstan walipokua wanapigana na warusi walikua mashoga pia???
 
Elewa Kiingereza wewe si kurukia rukia mambo tu!
Waziri wa Russia anasema vita iliyoanzishwa kwa kuitumia Ukraine!
Huyo Waziri ana akili kubwa sana usidhani kwa hicho kichwa chako cha kufugia nywele utamuelewa!

Hiyo ndiyo tafsiri rasmi mliyopewa Buza? Hata aibu kidogo hamuoni?
 
Vita ya Ukraine imeanzishwa kama geresha kwa ajili ya UVAMIZI DHIDI YA URUSI, tunachofanya ni kuzuia uvamizi huo. Haya sasa....

Ni mrusi mwandamizi tu kutokea Buza anayeweza kukubaliana na kauli ya kitoto kama hiyo kutoka kwa jitu zima 🤣🤣
 
Yani wewe mtoa mada inaelekea kwenye masuala ya kimataifa ni bwege mtozeni kabisa. Kama huwezi kuelewa ni nini Lavrov anamaanisha kwa kusema hivyo, sijui kama sisi tunaweza kukuelewesha.

Inaonyesha mrusi mwandamizi kutokea Buza ukweli umekuchoma kumoyo. Sikiliza vicheko vile hata mchina kamcheka.

Angalizo lugha Ile siyo ya kwenu Buza. Kwa mwendo huu nikushauri uwahi huduma mapema unakoelekea utaanza kukusanya makopo si muda mrefu:

IMG-20230301-WA0005~2.jpg
 
Jamiiforums Imeviwa
Mtoa mada Uwezo wake Unaishia kwenye Mada Za Dadapoa Huku Achana Nako

Kwani kwenye mada zenu za madada poa hamjuani wenyewe huko? Yaomyesha mawazo yangali huko. Kama ndivyo Huku umepotea njia.

Historia huwa haiandikwi upya. Ipo sauti ya Lavrov. Alichosema kimeandikwa si kiswahili. Mchina kasikika akimcheka ila mrusi mwandamizi wewe kutokea Buza?

Danganyaneni Buza huko Mrusi Hana vita anasimamisha hapa. Akiacha uvamizi wake jana hii vita itakwisha jana.
 
Kwa kweli akili ni nywele na kila mtu ana zake.

Katikati ya uhasama usiothamini tena maisha ya watu wengine, Urusi iliingizana G20 mkutanoni na kichekesho cha mwaka:



View attachment 2537591

Kumbe Urusi inapambana kuisimamisha vita iliyoanzishwa na Ukraine dhidi yake. 🤣🤣

Kwamba huo haswa ndiyo uelewa wa akina Yericko Nyerere na wale warusi wa pale Buza.

Ama kweli duniani hakutaisha vituko.

Mkuu Ungejikita kwenye udaku wa kina Feitoto, ugali kwa sukari, mambo serious kama haya achana nayo
 
Kwa kweli akili ni nywele na kila mtu ana zake.

Katikati ya uhasama usiothamini tena maisha ya watu wengine, Urusi iliingizana G20 mkutanoni na kichekesho cha mwaka:



View attachment 2537591

Kumbe Urusi inapambana kuisimamisha vita iliyoanzishwa na Ukraine dhidi yake. 🤣🤣

Kwamba huo haswa ndiyo uelewa wa akina Yericko Nyerere na wale warusi wa pale Buza.

Ama kweli duniani hakutaisha vituko.

Huwezi kuelewa issue/mambo kama tayari umeshaegemea upande mmoja. Hivi uhasama wa Cuba na USA ulisababishwa na nini? Hivi Russia asingekaa na USA kuyamaliza unafikilia nini kingewakuta Cuba?

Kwa mahantiki hiyo tatizo la Ukrane na Russia linafanana sana na tatizo la USA na Cuba. Russia alilalamika sana mwenendo wa USA pale Ukraine lakini USA walimdharau. Sasa hapo ulitaka Russia wafanye nini??
 
Umezoea kusikiliza akili ndogo, haya waachie watu wenye grobal mindset

Wenye global mindset walikuwa Buza kwa Mpalange ila waliokuwa G20 Delhi ni akili ndogo? Avatar Yako umeiangalia vyema?
 
Ukijiuliza ni kwanini kuna watu Walishinikiza Baraba aachile na Yesu asurubiwe huwezi shangaa kauli ravrov na wafuasi wake mazombi.
Ukrein ili ivamia Urusi ili kuiba rasimali za Urusi ikitumiwa na marekani.
 
Mkuu Ungejikita kwenye udaku wa kina Feitoto, ugali kwa sukari, mambo serious kama haya achana nayo

Kwamba waliomcheka Lavrov kule G20 wako kwenye udaku ila wewe Hapo Kwa Mpalange? Hata kujihurumia kidogo ndugu? Yaonyesha imekuuma sana? Pole lakini.
 
Back
Top Bottom