Lawama yote nawapa viongozi wetu wa kanisa katoliki Kwa kukosa msimamo kwenye kusimamia sheria za kanisa, mnakubali vipi watu waje na viti vyao ?

Lawama yote nawapa viongozi wetu wa kanisa katoliki Kwa kukosa msimamo kwenye kusimamia sheria za kanisa, mnakubali vipi watu waje na viti vyao ?

NetMaster

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2022
Posts
1,454
Reaction score
4,925
Hata mgeni akija kwako ni lazima umuelekeze sheria zako, huwezi kumlaumu akifanya kitu alichoomba akifanye na ukamruhusu.

Rais wetu ni muislamu kwake hajui vitu vingi vya wakatoliki, achilia mbali hata ukristo kwa ujumla.

Tuelewane jamani, Rais kaenda Kanisani kakalia kiti chake Kwa sababu ya ruhusa ya viongozi wa kanisa la wakatoliki, bila viongozi kuruhusu angelazimima kukalia benchi! Wasimamizi wa kanisa la wakatoliki ndio wameruhusu huu utaratibu hivyo tusimlaumu raisi kama wahusika waliridhia,

Ni suala la dini kuwa na msimamo wa kufata sheria zake, Mfano kuna dini ni lazima uvue viatu hata uwe Rais lasivyo hutoruhusiwa kuingia lakini huku kwa wakatoliki sheria zinaweza kulegezwa kidogo kulingana na cheo ama umaarufu, hata Diamond na Zuchu waliwahi kupewa ruhusa kurekodi video ndani ya kanisa katoliki, (msikitini wasingeruhusiwa na hata makanisa mengine ni ngumu ila kwa kanisa la wakatoliki walikubaliwa )
 
Hata mgeni akija kwako ni lazima umuelekeze sheria zako, huwezi kumlaumu akifanya kitu alichoomba akifanye na ukamruhusu.

Rais wetu ni muislamu kwake hajui vitu vingi vya wakristo hivyo kanisani ni kama mgeni

Tuelewane, Rais kaenda Kanisani na kiti chake Kwa ruhusa ya viongozi wa kanisa la wakatoliki, bila viongozi kuruhusu angelazimima kukalia benchi!

Wasimamizi wa kanisa la wakatoliki ndio wameruhusu huu utaratibu hivyo tusimlaumu raisi kama wahusika waliridhia,

Ni suala la dini kuwa na msimamo wa kufata sheria zake, Mfano kuna dini ni lazima uvue viatu hata uwe Rais lasivyo hutoruhusiwa kuingia lakini huku kwa wakatoliki sheria zinaweza kulegezwa kidogo kulingana na cheo ama umaarufu, hata Diamond na Zuchu waliwahi kupewa ruhusa kurekodi video ndani ya kanisa katoliki, (msikitini wasingeruhusiwa na hata makanisa mengine ni ngumu ila kwa kanisa la wakatoliki walikubaliwa )
Naomba bila jaziba unisaidie kujua utaratibu wa misa ya wafu unavyoanza mpaka mpendwa kufikia kuanzishiwa misa. Yaani mpaka misa ya kumuombea Julius inafanyika ni taratibu gani zinafuatwa?
 
Hata mgeni akija kwako ni lazima umuelekeze sheria zako, huwezi kumlaumu akifanya kitu alichoomba akifanye na ukamruhusu.

Rais wetu ni muislamu kwake hajui vitu vingi vya wakristo hivyo kanisani ni kama mgeni

Tuelewane, Rais kaenda Kanisani na kiti chake Kwa ruhusa ya viongozi wa kanisa la wakatoliki, bila viongozi kuruhusu angelazimima kukalia benchi!

Wasimamizi wa kanisa la wakatoliki ndio wameruhusu huu utaratibu hivyo tusimlaumu raisi kama wahusika waliridhia,

Ni suala la dini kuwa na msimamo wa kufata sheria zake, Mfano kuna dini ni lazima uvue viatu hata uwe Rais lasivyo hutoruhusiwa kuingia lakini huku kwa wakatoliki sheria zinaweza kulegezwa kidogo kulingana na cheo ama umaarufu, hata Diamond na Zuchu waliwahi kupewa ruhusa kurekodi video ndani ya kanisa katoliki, (msikitini wasingeruhusiwa na hata makanisa mengine ni ngumu ila kwa kanisa la wakatoliki walikubaliwa )

Kaka huyo mtu ni rais
Hata pumzi yako ww ipo kwenye mamlaka yake, sijui kama unalijua hilo
 
Kma kuna ukweli vle

Lakin hiyo paragraph ya mwisho iko sahihi sana
 
Hata mgeni akija kwako ni lazima umuelekeze sheria zako, huwezi kumlaumu akifanya kitu alichoomba akifanye na ukamruhusu.

Rais wetu ni muislamu kwake hajui vitu vingi vya wakristo hivyo kanisani ni kama mgeni

Tuelewane, Rais kaenda Kanisani na kiti chake Kwa ruhusa ya viongozi wa kanisa la wakatoliki, bila viongozi kuruhusu angelazimima kukalia benchi!

Wasimamizi wa kanisa la wakatoliki ndio wameruhusu huu utaratibu hivyo tusimlaumu raisi kama wahusika waliridhia,

Ni suala la dini kuwa na msimamo wa kufata sheria zake, Mfano kuna dini ni lazima uvue viatu hata uwe Rais lasivyo hutoruhusiwa kuingia lakini huku kwa wakatoliki sheria zinaweza kulegezwa kidogo kulingana na cheo ama umaarufu, hata Diamond na Zuchu waliwahi kupewa ruhusa kurekodi video ndani ya kanisa katoliki, (msikitini wasingeruhusiwa na hata makanisa mengine ni ngumu ila kwa kanisa la wakatoliki walikubaliwa )
Kuna siku rais atataka awekwe kiti altare
 
... hivi Nyerere na Mkapa (sitaki kuongelea ya jiwe) pale St. Peters, Oysterbay na kwingineko ilikuwaje walipokuwa wanashiriki ibada? Walikuwa na viti vyao maalum mle kanisani au vilibebwa kila walipokwenda kushiriki? Vipi Makamu wa Rais wakatoliki enzi hizo including Warioba kwenye ibada ilikuwaje kuhusu viti vyao?

Vipi maraisi na makamu rais waislamu enzi hizo including Mzee Mwinyi, Jakaya Kikwete, the late Omar Juma, n.k. ilikuwaje walipokuwa wanahudhuria ibada za kikristo? Walibebewa viti?

Tuanzie hapo kwanza, inawezekana kuna precedence watangulizi waliacha wengine/wa sasa wanapita mule mule; tusije kulaumu viongozi bure bila sababu za msingi.
 
Hata mgeni akija kwako ni lazima umuelekeze sheria zako, huwezi kumlaumu akifanya kitu alichoomba akifanye na ukamruhusu.

Rais wetu ni muislamu kwake hajui vitu vingi vya wakristo hivyo kanisani ni kama mgeni

Tuelewane, Rais kaenda Kanisani na kiti chake Kwa ruhusa ya viongozi wa kanisa la wakatoliki, bila viongozi kuruhusu angelazimima kukalia benchi!

Wasimamizi wa kanisa la wakatoliki ndio wameruhusu huu utaratibu hivyo tusimlaumu raisi kama wahusika waliridhia,

Ni suala la dini kuwa na msimamo wa kufata sheria zake, Mfano kuna dini ni lazima uvue viatu hata uwe Rais lasivyo hutoruhusiwa kuingia lakini huku kwa wakatoliki sheria zinaweza kulegezwa kidogo kulingana na cheo ama umaarufu, hata Diamond na Zuchu waliwahi kupewa ruhusa kurekodi video ndani ya kanisa katoliki, (msikitini wasingeruhusiwa na hata makanisa mengine ni ngumu ila kwa kanisa la wakatoliki walikubaliwa )
Kwa kanisa suala la mtu kubeba kiti chake siyo issue kabisa ikiwa kiti hicho hakuiingiliani na wala hakipingani na taratibu za ibada.
 
Kanisa katoliki linakuhusu kila mtu kubeba kiti,kigoda au benchi lake kikubwa azingatie lituljia ya kanisa hasa kwenye adhimisho la misa takatifu.
 
Back
Top Bottom