Since the beginning of 2021, 31 energy companies have ceased trading due to soaring wholesale gas prices, leaving over two million customers dependent on t
www.forbes.com
Hiyo biashara sio rahisi kama unavyofikiria wewe. Ni very capital intensive uwekezaji wake.
Halafu inabidi uzingatie uwepo wa soko la mitaji au investors wa kuwekeza pamoja na government policies zilizopo huko kusaidia wawekezaji. Kwa sasa kuna incentives kwenye green sources so watu wanachukua risks aina maana wana sustainable businesses.
Kingine ni mitaji hakuna nchi duniani inaweza shindana na US kwenye capital market and number of potential investors.
Sasa basi ukienda nchi kama U.K. uliotolea mfano ushindani wa umeme ni oligopoly kuna makampuni kama matano tu ndiyo yenye impact. Hao wengine ni ghasia tu hasa wanaonunua umemea unaozalishwa na wenzao ni very high risk business ndio maana zinakufa haraka. Wengine hao wa kwenye green technologies wanazalisha sijui umeme wa mawimbi, hydrogen and other sources pretty much ni experiments tu at this infancy stages and as far as the government is concerned sio watu ambao kwa sasa wapo katika vichwa vyao kama sehemu ya energy security lakini wanahesabika kama biashara za umeme.
Ni hivi the matter is more complicated ukilipekuwa kwa undani kushinda unavyodhani, halafu rules zake za kuendesha hayo mashirika ukiweka vigezo hivyo kwa Tanzania upati mwekezaji.
Wawekezaji watanzania wanataka kuja kujenga vyanzo hasa vya green, energy (mainly solar and wind), kuuzia serikali huo umeme. Wakitoka hapo hiyo investment inawaruhusu kuchafua kwao wanatumia kama carbon trade initiatives (moja ya rules ni kuwekeza third world umeme safi, na wewe unaruhusiwa kuchafua equal amount huko kwao).
Ni hivi kuendesha reli kupitia line ya serikali au umeme hasa kwa makampuni makubwa rules zake huko kwa wenzetu sio ndogo huko kwa wenzetu na kuchezea fines za £5m kwa makosa madogo tu washazoea, kwenye reli fines zinavuka hundred million easily.
Hiyo niliyoweka hapo juu wote hao ambao biashara zao chali ni wale wanaonunua tu; lakini sio big players.
Shida ya Tanzania ni usimamizi wa serikali kwa TANESCO kabla ya kufikiria kingine chochote; hilo kwanza lirekebishwe.