Mtanzanias
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 1,747
- 3,725
Sishangai kabisa vipers kucheza mechi 4 bila kufunga goli lolote kwakweli ni shida kubwa sana liko kwenye eneo la mwisho la vipers, kuanzia beki, na viungo wako vizuri sana lakini ushambuliaji ni majanga, Mechi ya leo ilikuwa ni mechi ya vipers kutoka na point kwa namna walivyocheza.
Simba walibaki kushikilia mioyo na kuomba mpira umalizike, Walikuwa ata mate awamezi wakijua muda wowote goli linarudi lakini ubovu wa vipers kwenye eneo la mwisho limewaangusha pakubwa, Hii michuano ni mikubwa ukiwa kwenye ligi yako unaweza usione tatizo lakini kwenye hii michuano unatakiwa kuimarisha kila eneo.
Na simba wajiangalie sana kwa hii perfomance yao inatia mashaka makubwa, nafasi walizopata hawa vipers kama ni timu nyingine makini ni vilio tu vitaanza kusikika, Ngoja tusubili mechi ya fainali na Horoya kwa maana angalau tutaona mechi nzuri kwakuwa horoya sio butu kama vipers wakipata nafasi wanaitendea haki ipasavyo, narudia tena simba jiangalieni!
Simba walibaki kushikilia mioyo na kuomba mpira umalizike, Walikuwa ata mate awamezi wakijua muda wowote goli linarudi lakini ubovu wa vipers kwenye eneo la mwisho limewaangusha pakubwa, Hii michuano ni mikubwa ukiwa kwenye ligi yako unaweza usione tatizo lakini kwenye hii michuano unatakiwa kuimarisha kila eneo.
Na simba wajiangalie sana kwa hii perfomance yao inatia mashaka makubwa, nafasi walizopata hawa vipers kama ni timu nyingine makini ni vilio tu vitaanza kusikika, Ngoja tusubili mechi ya fainali na Horoya kwa maana angalau tutaona mechi nzuri kwakuwa horoya sio butu kama vipers wakipata nafasi wanaitendea haki ipasavyo, narudia tena simba jiangalieni!