Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,386
- 57,588
Wapi nimemdhihaki?Kabla hujaingia kaburini usithubutu kumdhihaki mtu yoyote aliyekufa au aliyehai kama una amini kuna mungu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi nimemdhihaki?Kabla hujaingia kaburini usithubutu kumdhihaki mtu yoyote aliyekufa au aliyehai kama una amini kuna mungu
HIi ni post ya taarifa ya kifo, unaposema ukimwi unaua unamaanisha nini? Unless huelewi hata maana ya kitu unachoandika eti? Au wewe hutokufa?Wapi nimemdhihaki?
Waambie hao hawajui....Nyingi nafasi za kubebwa ma Mzee wa Msoga tu. Kipimo halisi n̈I alipokuwa CEM wa NBC na namna alivyofeli vibaya kiuongozi hadi kutolewa na makaburu
Oyaa dogo hili ni jukwaa la siasa siyo international forum kwa iyo punguza mihemko na shobo za kipalestina.HIi ni post ya taarifa ya kifo, unaposema ukimwi unaua unamaanisha nini? Unless huelewi hata maana ya kitu unachoandika eti?
Msigombane, cha muhimu ni kuendelea kujiandaa kwa kuishi maisha yanayoendana na maandikoHIi ni post ya taarifa ya kifo, unaposema ukimwi unaua unamaanisha nini? Unless huelewi hata maana ya kitu unachoandika eti? Au wewe hutokufa?
Hata wewe?Inna limLlahi wa inna Ilayhi rajiun.
Kafanana sana na yule jamaa, tofauti ni rangi zao tu, yule mweupe, huyu mweusi.
Are you serious? Kufa kwa HIV ni uzembe tu. Kuna watu toka 1990s wako HIV positive, lakini kwa sababu wanafuata masharti ya kuepuka ngono zembe na wanakula vizuri bado wana surviveUKIMWI unaua. Rest in peace bro.
kuna watu humu wamedai alikuwa anaugua ugonjwa huo, ndo nataka kuhoji kiuhalisia angeenda huko vipi wakati tunaifaham hosp hyo?Such a stupid fella!
Grow upOyaa dogo hili ni jukwaa la siasa siyo international forum kwa iyo punguza mihemko na shobo za kipalestina.
Sauh'waah?
Ila wewe bibi wakati mwingine nahisi mjukuu wako ndie huandika humu JF🤣🤣🤣Inna limLlahi wa inna Ilayhi rajiun.
Kafanana sana na yule jamaa, tofauti ni rangi zao tu, yule mweupe, huyu mweusi.
Bibi kumbe na weye waangaliaga connection? Nilidhania ni sisi vijukuu vyako vya tiktok tuInna limLlahi wa inna Ilayhi rajiun.
Kafanana sana na yule jamaa, tofauti ni rangi zao tu, yule mweupe, huyu mweusi.
Kizaazaa ,gumzo gumzo Kwa mabronzoo,masista duu ,machizi ,walimu na wanafunzi ,ni kazeze ,ni kazeze ,ni kazeze.UKIMWI unaua. Rest in peace bro.
Umefikisha ya mia na ngapi?Kafanana sana na yule jamaa, tofauti ni rangi zao tu, yule mweupe, huyu mweusi.
Kumbe hata wewe unaangalia video za desh desh why zed.Inna limLlahi wa inna Ilayhi rajiun.
Kafanana sana na yule jamaa, tofauti ni rangi zao tu, yule mweupe, huyu mweusi.
Kwani!!?Bibi kumbe na weye waangaliaga connection? Nilidhania ni sisi vijukuu vyako vya tiktok tu
We unajua utakufaje? Au kifo kipi ni honorable zaidi ungependa wewe ufe? Mtu akiondoka ni busara tu kumuacha aende hata kama haumpendi! Mtu kwenda kutafuta afya yake popote ni haki yake so long as anaweza, wapo malaki walienda loliondo kwa babu na mpaka leo mamilioni wengine wamekesha leo kwa kalumanzila. Ni maisha yaokuna watu humu wamedai alikuwa anaugua ugonjwa huo, ndo nataka kuhoji kiuhalisia angeenda huko vipi wakati tunaifaham hosp hyo?
Kumradhi kwa kutoeleweka vyema, najua nime'sound plain sana!
Nakubaliana na wewe yule Baltazary siyo mzima na ndiyo maana alikuwa anafanya kwa makusudi kupita na mademu kibao tena wa watu wa karibu kuwasambazia grid,maana alikuwa anapita kisiwa dry chama.Wote wana Ngoma,sema huyu katangulia.
Mimi kifuani mwa demu mkali.We unajua utakufaje? Au kifo kipi ni honorable zaidi ungependa wewe ufe? Mtu akiondoka ni busara tu kumuacha aende hata kama haumpendi!