TANZIA Lawrance Mafuru, Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango afariki dunia

TANZIA Lawrance Mafuru, Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango afariki dunia

Ila kufa na ukimwi ni ajabu si magonjwa kama magonjwa mengine
Inategemea na akili uliyonayo, kuna madaktari wanaopata hiv kwa wagonjwa wao, kuna wanaozaliwa na hiv ,kuna cases nyingi sana ambazo hazisababishwi na uzembe wa mtu, kuna mke au mume mwaminifu ambae analetewa na mke au mume wake, ndio mitihani ya kidunia, na mwisho wa siku wote tutakufa iwe kwa ukimwi au malaria au hata bila ya kuumwa
NI swala la ustaarabu tu la kujua uongee kiti gani kwa wakati gani
Hata wewe ukifa kuna wapuuzi wachache wanaweza kukuzushia chochote na kuwaumiza watoto ,mke au ndugu zako
Ndio maana mtu akifa tumefundishwa stahiki zake,ni kuzikwa tu
 
GENTAMYCINE niliposema mapema tu mwaka huu kuwa kuanzia mwishoni mwa mwaka huu 2024 na hadi July hadi September mwakani kutatokea Vifo vya Kushtukiza kwa Wakubwa sikueleweka na nikaonekana Zamwa / Chizi
Unaweza ukasababisha waonekane walikuwa sawa kwa hisia zao
Huyu ndiyo alikuwa anaenda kuwa Waziri Mkuu ajaye 2025 ambapo Mama yenu angemteua nafasi ya Ubunge
Waziri Mkuu hatokani na kundi la Wabunge wa kuteuliwa.
 
GENTAMYCINE niliposema mapema tu mwaka huu kuwa kuanzia mwishoni mwa mwaka huu 2024 na hadi July hadi September mwakani kutatokea Vifo vya Kushtukiza kwa Wakubwa sikueleweka na nikaonekana Zamwa / Chizi sasa taratibu nitaanza Kueleweka na huenda hata Kujengewe Sanamu langu.

Huyu ndiyo alikuwa anaenda kuwa Waziri Mkuu ajaye 2025 ambapo Mama yenu angemteua nafasi ya Ubunge ila Mchezo ule ule wa Deo Filikunjombe ambaye nae Hayati alipanga kumteua Waziri Mkuu wake 2015 umechezwa ila tofauti tu ni kwamba Deo ni kwa kutumia Chopper Mchezo wa Korea Kaskazini na huyu wa Leo ni kwa Mchezo wa Urusi ambao huwa hauna Masihara kama Maadui wakikutafuta nao.

Najua kama kuna Msiba ambao utamuumiza Mama yenu ni huu wa huyu, ila msaidieni Mama yenu kwa kumwambia ajitahidi sana awe Msiri kwa Mambo yake kwani ana Maadui ndani yake halafu kuna Vita Kubwa sana ya Makundi ndani ya CCM hasa kuelekea 2025 na kama kuna Nafasi inayotamaniwa na itaondoka na Wengi ni ya Waziri Mkuu.

Mko huru kuendelea Kunidharau kwani Nabii hajawahi Kukubila Kwao lakini sijawahi kusema Jambo lisije Kutimia mbeleni. Na ninachojua ni kwamba bado wapo Watu kama Watatu au Wanne hivi wapo katika Vita Kubwa sana na Wawili wako Nje (bench) ila ni Mafia hakuna Mfano na Mfalme wao hivyo tutarajie Misiba mingi kuanzia hiyo 2025.

Imeisha hiyo.........!!!!!!!
Kwahiyo yule jamaa Tumia akili alipoandika Original plan in and out hakukosea!!?yaani operation P.J.L.K?

Naunganisha matukio tu na thread tu!!?
 
Back
Top Bottom