TANZIA Lawrance Mafuru, Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango afariki dunia

TANZIA Lawrance Mafuru, Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango afariki dunia

Kaondolewa na Genge la Madaraka ya 2025 ambalo Mama kabaki nao kama Watatu Ndani na Nje wako kama 7 hivi.
Sasa naanza kuuelewa mchezo yule "Tumia akili " nyuzi zake zinaanza kutekelezwa pole pole!Ina maana cycle ya chura itaanza kufanyiwa kazi hasa wale wenye influence kwenye mfumo na jamii!!

Hadi mkutano mkuu wa ccm pale chimwaga mwakani mambo yatakua yamejiseti yenyewe!

Kifupi kazi imeanza!

Japo siajajua Role ya Tolu kwenye hii move in ipi!!!
 
Back
Top Bottom