Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Noma sana Kono la nyani ni hatari ,bongo m@vi na ubongo fleva industry imeoza!!!
Industry kumechafukwa...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Noma sana Kono la nyani ni hatari ,bongo m@vi na ubongo fleva industry imeoza!!!
And it is the only TRUE secret.Death is the only thing that is Certain
Inategemea na akili uliyonayo, kuna madaktari wanaopata hiv kwa wagonjwa wao, kuna wanaozaliwa na hiv ,kuna cases nyingi sana ambazo hazisababishwi na uzembe wa mtu, kuna mke au mume mwaminifu ambae analetewa na mke au mume wake, ndio mitihani ya kidunia, na mwisho wa siku wote tutakufa iwe kwa ukimwi au malaria au hata bila ya kuumwaIla kufa na ukimwi ni ajabu si magonjwa kama magonjwa mengine
Unaweza ukasababisha waonekane walikuwa sawa kwa hisia zaoGENTAMYCINE niliposema mapema tu mwaka huu kuwa kuanzia mwishoni mwa mwaka huu 2024 na hadi July hadi September mwakani kutatokea Vifo vya Kushtukiza kwa Wakubwa sikueleweka na nikaonekana Zamwa / Chizi
Waziri Mkuu hatokani na kundi la Wabunge wa kuteuliwa.Huyu ndiyo alikuwa anaenda kuwa Waziri Mkuu ajaye 2025 ambapo Mama yenu angemteua nafasi ya Ubunge
Umri huo Bado unaangalia Pornografia?Inna limLlahi wa inna Ilayhi rajiun.
Kafanana sana na yule jamaa, tofauti ni rangi zao tu, yule mweupe, huyu mweusi.
Duuh kama ndo hivo basi huyu kasepa na mkoa na sio kijiji! Rest easy man 👨Huyu mbona inajulikana tokea akiwa NBC.
Huna Akili.Unaweza ukasababisha waonekana walikuwa sawa kwa hisia zao
Waziri Mkuu hatokani na kundi la Wabunge wa kuteuliwa.
Angekulaje kwa urefu wa kamba yake ?RIPNdiyo maana sipendi mamlaka, bora kuendelea kuwa mfanya biashara jamani. Bora angebaki na firm yake ya consultancy
ANAHUSIKA NA MIPANGO SIO IPANGO UNAMUONEA.ipango ipi hawa huwa wanapanga? responsibility yake ni ipi? RIP
Wanaweza kuwa hawatibu ukimwi ila wanatibu maradhi yanayo ambatana naoKwani Apollo wanatibu UKIMWI?
Angebaki na firm yake ndio asingekufa?Ndiyo maana sipendi mamlaka, bora kuendelea kuwa mfanya biashara jamani. Bora angebaki na firm yake ya consultancy
Cancer hii jana tu tumetoka kumzika rafiki yangu kijana tu kwenye 40 plus cancer ya ini imemkimbiza nilimuona juzi nasema bora Mungu kamchukua maana inasikitisha. Mungu tuepushe na hili gonjwa.Alikuwa akisumbuliwa na saratani
Kwahiyo yule jamaa Tumia akili alipoandika Original plan in and out hakukosea!!?yaani operation P.J.L.K?GENTAMYCINE niliposema mapema tu mwaka huu kuwa kuanzia mwishoni mwa mwaka huu 2024 na hadi July hadi September mwakani kutatokea Vifo vya Kushtukiza kwa Wakubwa sikueleweka na nikaonekana Zamwa / Chizi sasa taratibu nitaanza Kueleweka na huenda hata Kujengewe Sanamu langu.
Huyu ndiyo alikuwa anaenda kuwa Waziri Mkuu ajaye 2025 ambapo Mama yenu angemteua nafasi ya Ubunge ila Mchezo ule ule wa Deo Filikunjombe ambaye nae Hayati alipanga kumteua Waziri Mkuu wake 2015 umechezwa ila tofauti tu ni kwamba Deo ni kwa kutumia Chopper Mchezo wa Korea Kaskazini na huyu wa Leo ni kwa Mchezo wa Urusi ambao huwa hauna Masihara kama Maadui wakikutafuta nao.
Najua kama kuna Msiba ambao utamuumiza Mama yenu ni huu wa huyu, ila msaidieni Mama yenu kwa kumwambia ajitahidi sana awe Msiri kwa Mambo yake kwani ana Maadui ndani yake halafu kuna Vita Kubwa sana ya Makundi ndani ya CCM hasa kuelekea 2025 na kama kuna Nafasi inayotamaniwa na itaondoka na Wengi ni ya Waziri Mkuu.
Mko huru kuendelea Kunidharau kwani Nabii hajawahi Kukubila Kwao lakini sijawahi kusema Jambo lisije Kutimia mbeleni. Na ninachojua ni kwamba bado wapo Watu kama Watatu au Wanne hivi wapo katika Vita Kubwa sana na Wawili wako Nje (bench) ila ni Mafia hakuna Mfano na Mfalme wao hivyo tutarajie Misiba mingi kuanzia hiyo 2025.
Imeisha hiyo.........!!!!!!!
Afu utakuta huyo mtu ni kiongozi mkubwa tu serikalini,lkn bado lina ujinga kichwani.Umri huo Bado unaiangalia Pornografia?
Ukiona dokta anakuambiae "Ini limefeli,cancer ya ini na n.k ujue ni sumu kwa iliyofanya in kufeli!!!Cancer hii jana tu tumetoka kumzika rafiki yangu kijana tu kwenye 40 plus cancer ya ini imemkimbiza nilimuona juzi nasema bora Mungu kamchukua maana inasikitisha. Mungu tuepushe na hili gonjwa.