Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Ile kitu inaonekana ni hatari, organ failure leads to sudden death.Juzi juzi tulikuwa naye kwenye mkutano anafanya presentation na alikuwa fiti kabisa. Dah, haya maisha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ile kitu inaonekana ni hatari, organ failure leads to sudden death.Juzi juzi tulikuwa naye kwenye mkutano anafanya presentation na alikuwa fiti kabisa. Dah, haya maisha.
Unaanza kujisahau mwandiko unabadilika na kuwa wa jinsia nyingine.Mbona mnaongea vitu nisivyovielewa? Fungukeni, sijuwi kuongea kwa codes. Mimi nimesema kafanana na yule jamaa. Sasa naona watu mnajza mambo ya ajabu ajabu.
Dah ,inasikitishaIle kitu inaonekana ni hatari, organ failure leads to sudden death.
The dead ones no nothingthen why wonder when it arrives?
Huna akili wee bibi.Inna limLlahi wa inna Ilayhi rajiun.
Kafanana sana na yule jamaa, tofauti ni rangi zao tu, yule mweupe, huyu mweusi.
Kumbe na wewe bibi ulimuangalia baltazarInna limLlahi wa inna Ilayhi rajiun.
Kafanana sana na yule jamaa, tofauti ni rangi zao tu, yule mweupe, huyu mweusi.
GaniKifo hiki. Tulikuwa naye kwenye mkutano mwezi wa tisa, tukakubaliana aje ofisini kwetu kwa ajili ya kujadili jinsi ya kufadhili wa kukamilisha dira ya taifa 2050.
Mpumzike kwa amani.
Mrundi wako yeye Hana Ngoma, au ulitemana naeHuyu mbona inajulikana tokea akiwa NBC.
Alishakufa.Na hakufa kwa ngoma.Mrundi wako yeye Hana Ngoma, au ulitemana nae
kwanini ufikirie hivyo? Wapi nimeweka jina la mtu?Kumbe na wewe bibi ulimuangalia baltazar
Jamaa hana kibamia vp uliipenda?
Hata akifa kwa kinanda wacha ngoma, kifo ni kifo tu.Alishakufa.Na hakufa kwa ngoma.
Wewe unazo inatosha, nisizonazo zinakuhusu nini?Huna akili wee bibi.
Uko huru na fikra zako, mimi nani nikuzuwie kufikiri?Unaanza kujisahau mwandiko unabadilika na kuwa wa jinsia nyingine.
Hiyo kila mmoja ajaze kivyake anavyoelewa yeye.Tuambie jamaa gani?
Huna akili wee bibi.
Nasikia unafuga mapaka?Wewe unazo inatosha, nisizonazo zinakuhusu nini?