BABU CHONDO
JF-Expert Member
- Jun 6, 2011
- 855
- 139
Arusha kuna kuna jamaa alisha leta ya kwakwe ila ni kama mwili tu,hayatoshelelezi yanapiga katikati ya mji,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
basi kajitoleaTunge apply vipi, kwani tenda ilitangazwa?
umeona babu wabongo tuna majelous ya kishamba kweli yaani,mtu hata kadustbin ka kukusanyia uchafu home kwake tu hana ila analalamika hapa
Tunge apply vipi, kwani tenda ilitangazwa?
Nasikia ni ya kisasa mno.......yakishazoa taka yanapiga na pafyumu
ya kuzoa uchafu jijini? Au ni wivu tu? Huna gari huna kampuni huna zana yeyote mwenye uwezo kapewa kazi wewe unabwabwaja tu watz bana
Hivi JIJI walishindwa nini kununua magari kama haya kuzoa taka? Hizi hela za mabango wanapeleka wapi?
Hongera Masha kwa kuona GAP kwenye hawa viongozi uchwara.
Ipo miaka yote wapi? Imetangazwa lini? Wapi?Achana na kabila langu na mambo ya kijiweni kwangu. That's besides the relevant issues. Tendering process ilianza lini?Hizo tenda zipo miaka yote...
kwa iyo wewe tender zote za nchi hii unazijua? na hii alopata masha tu ndo hukuiona?Ipo miaka yote wapi? Imetangazwa lini? Na chombo gani? Wapi?Achana na kabila langu na mambo ya kijiweni kwangu. That's besides the relevant issues.
Tendering process ilianza lini?
Muhimu ni ubora wa huduma,bila kujali nani mnmiliki wa hii kampuni haya ndio magari ya takataka tunayotaka kuyaona kote Tanzania. Tunapambana na mfumo unaodidimiza maendeleo na sio mtu!Kwangu mtu akija na magari kama haya wala haitaji kushindanishwa ni kumpa maeneo na kusimamia kazi inafanyika!
Wewe umenijibu kwamba ametoa msaada. Umerudi tena kwenye tenda? I can't follow your drift here, which is it?kwa iyo wewe tender zote za nchi hii unazijua? na hii alopata masha tu ndo hukuiona?
kwasababu hutaki kuamini aliqualify kutoa iyo serviceWewe umenijibu kwamba ametoa msaada. Umerudi tena kwenye tenda? I can't follow your drift here, which is it?
wewe mtoto unafujo sana wewe!ya kuzoa uchafu jijini? Au ni wivu tu? Huna gari huna kampuni huna zana yeyote mwenye uwezo kapewa kazi wewe unabwabwaja tu watz bana
Ipo miaka yote wapi? Imetangazwa lini? Wapi?Achana na kabila langu na mambo ya kijiweni kwangu. That's besides the relevant issues. Tendering process ilianza lini?