... i also think its a PRIVATE matter,if Masha's wife is affected by this ataenda kanisani kushitaki au mahakamani sisi SIDHANI kama linatuhusu,tuzungumzie utendaji wake wa kazi.
Nadhani kuna haja ya kutumia zaidi lugha za wana JF, zipo humu na tunazijua lugha nzuri tu ambazo hazina kichefu chefu hata kama wewe ndiye Miriam!! [/QUO
This shows how deep "low class" this person is!
Utawatambua kwa matendo yao na kauli zao, Period.
Moja ya sababu zilizokuwa zinanikwaza kumsapoti Muungwana 2005 ni uzinzi wake.Let's be honest.Mtu anaeshindwa kuwa mwadilifu kwa mkewe atawezaje kuwa mwadilifu kwa taifa lenye mamilioni ya watu?Wadanganyika wengi walikuwa wanafahamu fika cv mbovu ya Muungwana wakati anagombea lakini,as some want us to believe here,wakachukulia hilo ni suala binafsi,au siye mzinzi awe wa kwanza kutupa jiwe.
sasa sijui unalichukuliaje mme wa mtu kutembea na wanawake wengine nje ya ndoa yake!.na pia mara kadhaa umekuwa ukirejea biblia kujenga hoja zako(rejea ishu ya uchawi ) ulipodai kuwa biblia unayoiamini imesema uchawi upo kwa hiyo nawe unaamini upo.sasa mimi nakushangaa unaposimama kutetea upuuzi huu wa kimaadili wa viongozi wetu kwa madai eti "maadamu hajala pesa zetu basi hilo halituhusu",
safi nilikuwa nakuja kumjibu FMES huwa anasahau alichoandika zamani.....kamsakama member mmoja hapa kuwa ana mcheat mkewe na akamtishi atamshitaki kwa mkewe......Field Marshal, ni juzi juzi tu hapa uliongelea kuhusu ulichokiita nanukuu "tabia chafu za kutembea na wake za watu", sitaki kuiweka hiyo posti hapa, lakini ni wakati ule wa kudiscuss issue kati ya Mwalimu na Malecela baada ya kutokea msiba wa mwanamama mmoja(jina nalihifadhi), ukiitaka hiyo posti nitakuwekea hapa maana ipo mkuu. sasa sijui unalichukuliaje mme wa mtu kutembea na wanawake wengine nje ya ndoa yake!.na pia mara kadhaa umekuwa ukirejea biblia kujenga hoja zako(rejea ishu ya uchawi ) ulipodai kuwa biblia unayoiamini imesema uchawi upo kwa hiyo nawe unaamini upo.sasa mimi nakushangaa unaposimama kutetea upuuzi huu wa kimaadili wa viongozi wetu kwa madai eti "maadamu hajala pesa zetu basi hilo halituhusu", kweli mkuu unaweza kusimama kwenye kioo na kutamka hayo maneno kisha ukaridhika na moyo ukatulia kisha ukalala usingizi safi?, hivi kweli Biblia unayoiamini inatufundisha kwamba Binadamu anaweza kuishi kwa mkate pekee?, yaani maadamu watanzania tunapata ka mkate ketu basi maadili mema ambayo sisi kama jamii tunayakubali, kama vile kutokwenda nje ya ndoa siyo ishu ya kukemea kwa nguvu zote hususan kwa viongozi wetu?,(nimetumia biblia kwa sababu hapo awali umeitumia kuegemeza hoja zako"). kwamba uzinzi siyo ishu?.kwamba tukiwa na kiongozi basha,hiyo siyo ishu yetu, kwamba tukiwa na kiongozi msagaji Watanzania tusikemee maadam haibi pesa yetu, kwamba tukiwa na kiongozi mwenye tabia za kubaka kuku na mbuzi Watanzania tusikemee maadamu hali pesa yetu. Jamani
Binadamu hataishi kwa mkate tu!. ndugu FieldMarshall tunajua kuwa fika Masha ni rafiki yako, na urafiki usikutie upofu ukauficha ukweli ilhali unafahamu jamaa yako amechemsha, Mwambie ajirekebishe lau kama hawezi ajiuzulu, hatuwezi kuendelea kuwapa dhamana viongozi wasiofahamu umuhimu wa kuwa na uchungu wa kulinda na kuziheshimu ndoa na familia zao,hao watu wataweza vipi kulilinda na kuliheshimu Taifa?
safi nilikuwa nakuja kumjibu FMES huwa anasahau alichoandika zamani.....kamsakama member mmoja hapa kuwa ana mcheat mkewe na akamtishi atamshitaki kwa mkewe......
Mkuu ES unataka uhakika wa bwana Lau kutembea na vimada?? wewe una uhakika gani kama mafisadi mnaowaita ni mafisadi kweli? kama sio habari za mitandanoni tu?? wewe una uhakika gani kama member uliemsema kuwa ana mcheat mkewe kama ni kweli??
Mkuu heshima yako sana, siku hizi kuna open marriages ambapo mke na mume wanakubaliana kufanya mambo yao nje na kuendelea kuwa pamoja for the sake of kids ninazijua ndoa nyingi sana hapa Dar, za namna hiyo maneno yako yangekuwa na nguvu sana kama mke wa Masha angekuja hapa kulia,
Otherwise ni absolutely none of our business, labda tu utuambie ametumia hela ngapi au mali ngapi za taifa letu kwa hao vimada then it our damn business!
WEWE KINAKUUMA NINI????????????KAMA UNAHISI EASY
KUWA UYAONE!!!!!INAONEKANA WE ULIKUWA BIBI YAKE WA ZAMANI NINI???
MKEWE MWENYEWE KARIDHIKA AU NA WEWE UNATAKA BABY COME BACK
LOH!!!!!!!!HILOOOOOOOOOOOOOOOOO UTAJIJU MWANAWANE MAMA KULA
NCHI WENYE KIJIBA CHA ROHO WAFE KWA RAHA ZAO!!!!AIJAWEKWA MUHURI WA
engima!!!!kila mtu kwa starehe yake
bibie enigima kama yako hujui kuitumia vyema mama wapelekee
WAKINA SALAMA WA EATV BEST WANAJUA KUZITUMIIA HIZO AU WAKINA
WAULIZE MTOTO WA MENGI !!!!MAMA TUMIA ULICHOPEWA NA MUNGU USIJEULIZWA
Kwanini? iache kama kujifia itajifia yenyewe.......should we close this thread?
should we close this thread?
mwenye data za mwawado amwage nyuki humu
hawa ndio watumwa wa mafisadi