Lay JayDee na Nyota Ndogo wametuonesha UNAFIKI wa marafiki unavyoweza kuua biashara yako kisa urafiki

Lay JayDee na Nyota Ndogo wametuonesha UNAFIKI wa marafiki unavyoweza kuua biashara yako kisa urafiki

ukitaka kumfikishia mtu ujumbe, mfikishie yeye tu moja kwa moja na sio kutoa vijembe na mipasho mitandaoni
 
Ni stress tu za kufulia kimziki na kukosa kiki,huwezi kulazimisha watu wale kwenye mgahawa wako hata kama ni madhabiki,kusikiliza nyimbo zako ni support tosha wamependa mziki na siyo misosi yenu,mnawaforce wale kwenu mwisho wa siku wanakula bure.
Nadhani watakuwa wanakula bure mkuu. Kwasababu kama wanalipa halafu anaongea hayo, amefukuza wateja.
 
bongo usnitch mtupu,mondi alianzisha platform kununua wimbo 300 tu lakini watu wakapita vile.

hatujui maana ya upendo kwa mtu ndio maama hata wasanii wenyewe tukikutana nao ktk korido za majengo wanatukwepa.
 
Stress za kukosa mtoto. Wakurya hawana stress siku hizi
mkuu tahadhali mdomoni iwepo na katika vidole pia.
usiwe mropokaji kama kahaba mlevi wa pombe kali.

unawezajiona una furaha kwa huyo mtoto shababi uliyepata wahuni wakaanza kumkaza na kengere zake mbili.
 
Stress za kukosa mtoto. Wakurya hawana stress siku hizi


Nawafahamu watu kadhaa ambao hawakufanikiwa kupata watoto lakini they're still down to earth. Labda JayDee ana tatizo la kisaikolojia.
 
Kweli kabisa mkuu. Huwezi kumlazimisha mtu ale kwako eti kisa ni rafiki yako.

Hata mziki pia huwezi kulazimisha nikusupport kama unachoimba sijapenda, nikikusupport itakuwa kwa muda mfupi maana nasupport kitu anbacho sijapenda.
Aidha Umekurupuka au wewe ndio wale wanafki wenyewe aliowasema.
 
Mkurya na mgahawa wapi na wapi??anapenda bifu Sana huyu mama,Mara aseme akifa wasiende kumzika utadhani anamkomoa Nani sijui
 
mkuu tahadhali mdomoni iwepo na katika vidole pia.
usiwe mropokaji kama kahaba mlevi wa pombe kali.

unawezajiona una furaha kwa huyo mtoto shababi uliyepata wahuni wakaanza kumkaza na kengere zake mbili.
Maneno magum sana haya mkuu mpaka nimejiskia vibaya kabisaa
 
Ni stress tu za kufulia kimziki na kukosa kiki, huwezi kulazimisha watu wale kwenye mgahawa wako hata kama ni mashabiki, kusikiliza nyimbo zako ni support tosha wamependa mziki na siyo misosi yenu, mnawaforce wale kwenu mwisho wa siku wanakula bure.
Naunga mkono hoja.

JayDee ana kisirani na anapenda kujikuza.

Kama muziki wake ungekuwa mzuri, ungejiuza wenyewe.

Kama anauza bidhaa nzuri, zitajiuza zenyewe.
 
Aidha Umekurupuka au wewe ndio wale wanafki wenyewe aliowasema.
Sawa lakini ukweli ndio huo. Watu wanasupport vitu wanavyopenda kama wanakusupport just kukusupport haiwezi kudumu itakuwa kwa muda mfupi tu maana wanakuungisha tu. Lakini kama unafanya kitu wanapenda, watakuja wao wenyewe. Usifanye kitu ili mradi ukitegemea watu wakubackup kisa wewe ni rafiki yao, backup itakuwa kwa muda mfupi tu
 
Naunga mkono hoja.

JayDee ana kisirani na anapenda kujikuza.

Kama muziki wake ungekuwa mzuri, ungejiuza wenyewe.

Kama anauza bidhaa nzuri, zitajiuza zenyewe.
Lady Jay De ana kisirani sana ,kuna siku nilikuwa airport kwenye dirisha la ofisi za kampuni ya ndege nahudumiwa ,nashangaa naguswa bega eti " sogea nina haraka sana nihudumiwe" nikamwambia rudi nyuma mimi hapa nasubiri huduma pia " akasonya na kurudi nyuma,akaona aibu kwa walio nyuma.
 
Lady Jay De ana kisirani sana ,kuna siku nilikuwa airport kwenye dirisha la ofisi za kampuni ya ndege nahudumiwa ,nashangaa naguswa bega eti " sogea nina haraka sana nihudumiwe" nikamwambia rudi nyuma mimi hapa nasubiri huduma pia " akasonya na kurudi nyuma,akaona aibu kwa walio nyuma.
Mimi namjua kitambo kabla hajajulikana kwenye muziki, na ulivyomuelezea ndivyo hivyo hivyo ninavyomjua.
 
Back
Top Bottom