Lazaro ni mtoto wa kwanza wa Hayati Edward Moringe Sokoine....Naona Mkuu ametupa tu taarifa isiyo kamilika.
Sio kila MTU atafahamu nafasi ya marehemu kwenye jamii kwa kuona tu majina yanayofanana na Mzee wetu Marhum Edward Moringe Sokoine....
Ni Mwanaye, Ni mdogo wake, ni kaka yake no nani wake Mheshimiwa Edward Moringe Sokoine??
Sio lazima kwamba ukitaja tu Nina basis kila MTU atafahamu nafasi yake Marehemu kwenye huo Ukoo Mahuhuri was Mzee Wetu...,
Sent using Jamii Forums mobile app
Unapoandika RIP kwa tafsiri yako huwa una maanisha Nini .je ni hii hii ya Rest in Peace.?? Na km ni hiyo inakuaje unaitumia wakati ww n Atheist??RIP Lazaro.
Sent from my typewriter using Tapatalk
Kwanza kabisa, peace ni nini?Unapoandika RIP kwa tafsiri yako huwa una maanisha Nini .je ni hii hii ya Rest in Peace.?? Na km ni hiyo inakuaje unaitumia wakati ww n Atheist??
One love
Peace ni amani ..na tunaandika hvo tukiamini katika ulimwengu wa roho kuwa aliyefariki anaenda kulala salamaKwanza kabisa, peace ni nini?
Na nikimaanisha Rest in Protons itakuwaje?
Sent from my typewriter using Tapatalk
Hujamaliza kujibu.Peace ni amani ..na tunaandika hvo tukiamini katika ulimwengu wa roho kuwa aliyefariki anaenda kulala salama
One love
Ukimaanisha Rest in proton ..hiyo itakua Haina sense....Hujamaliza kujibu.
Kwa nini, miili inakongoroka na protons hazina uhai kama wetu, mtu akifa ana decompose.Ukimaanisha Rest in proton ..hiyo itakua Haina sense....
One love