Lazaro Nyalandu amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kati

Lazaro Nyalandu amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kati

Lazaro Nyalandu mwanasiasa mwenye hekima ya hali ya juu ambaye amewahi kuwa Waziri na mbunge kutokea CCM ushindi wake umedhihirisha ndani ya chama wanachama wote wana haki sawa hata kama umejiunga na chama hicho siku za usoni.


Hata yule wa kishindo cha 2015 alianza hivi
 
WanaJF

Habari za hivi Punde kutoka kule Kanda ya Kati zinasema Lazaro Nyalandu amechaguliwa kwa kishindo kikubwa kuongoza CDM katika kanda hiyo.

Nyalandu amepata kura 60 dhidi ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Kanda hiyo Alphonce Mbassa aliyepata kura 26.

Lazaro Nyalandu mwanasiasa mwenye hekima ya hali ya juu ambaye amewahi kuwa Waziri na mbunge kutokea CCM ushindi wake umedhihirisha ndani ya chama wanachama wote wana haki sawa hata kama umejiunga na chama hicho siku za usoni.

Kwa ushindi huu sasa Lazaro Nyalandu anaingia kwenye vikao vikuu vya maamuzi kama Mjumbe wa Kamati Kuu
Leo naona umeandika kwa busara siyo kama ile jana ulipoleta matokeo ya kanda ya kusini.

Ila Mbowe asigombee tena uenyekiti. Anadumaza chama.
 
Anastahili. Kwa muda mfupi aliojiunga, ameonekana akifanya kazi kubwa ya kukiimarisha chama na kujiimarisha yeye mwenyewe. Zilionekana wazi juhudi zake binafsi alizokuwa akizifanya.

Na huyu alijiunga CHADEMA akitokea CCM kwa namna ya pekee kidogo. Nadhani ni mtu wa pili kutoka CCM aliyeamua kuacha ubunge na marupurupu yote. Walio wengi wanajiunga na upinzani baada ya kutemwa na CCM.

Hongera sana Nyalandu. Nina imani, chini ya uongozi wa Nyalandu, kanda ya kati inaenda kubadilika, na kuongeza kanda zenye watu wenye uelewa juu ya umuhimu wa kuwa na watawala wanaoheshima katiba, sheria, haki, uhuru wa maoni na haki za kidemokrasia.

Viongozi wa CHADEMA, ni muhimu sana kutumia mbinu za chini kwa chini, kama ambavyo amekuwa akifanya Nyalandu, kuliko kutegemea mikutano ya wazi.

Nguvu kubwa itumike kuwapa watu elimu katika makundi madogo madogo. Watu wakiwa na uelewa, wakapata elimu sahihi, hakuna mtu asiye mnafiki atakayeunga upuuzi kama huu uliotokea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa.
Huyu alistahili kuwa upinzani,anajitambua na hakuondolewa ubongo wakati wote akiwa Tawala.
Hongera Mnyaturu,umevunja mwiko wa wanaowaaminisha wananchi kuwa kuna ukabila huko ulipo.Kina Lissu,Mnyika,Sugu,Professor Safari, Sumaye,Mch.Msigwa,Mwakajoka,Haonga....nao pia ni Wachaga?Mawazo ya Ukabila hutolewa na watu waliofilisika kisiasa.
Wanaka ktuaminisha kuwa Chama Tawala hakuna ukabila,udini,ukanda na/au undugunization?Tunaona,tunasikia,tunasoma natunaelewa kinachoendelea huko inside the house.
 
Hongera kamanda Nyarandu nakukubali sana toka ulipokataa kumtii SHETANI MKUU wa IKULU na VIBARAKA wake na matendo yao MAOVU, kwa viongozi wa CHADEMA ✌🏾✌🏾✌🏾💪🏾💪🏾💪🏾
 
Pongezi kwako Kamanda Nyarandu. M/Mungu akutangulie na akulinde na hawa VIBARAKA wa SHETANI MKUU wa IKULU na Matendo yao MAOVU, zidi ya viongozi wa CHADEMA.
 
With all due respect Hon. Victoire , would you kindly validate your outspoken statement with vivid, relevant and lively examples as far as those allegations are concerned ?
Mfano ni Sumaye na yule mbunge wa Ndanda.
 
Anastahili. Kwa muda mfupi aliojiunga, ameonekana akifanya kazi kubwa ya kukiimarisha chama na kujiimarisha yeye mwenyewe. Zilionekana wazi juhudi zake binafsi alizokuwa akizifanya.

Na huyu alijiunga CHADEMA akitokea CCM kwa namna ya pekee kidogo. Nadhani ni mtu wa pili kutoka CCM aliyeamua kuacha ubunge na marupurupu yote. Walio wengi wanajiunga na upinzani baada ya kutemwa na CCM.

Hongera sana Nyalandu. Nina imani, chini ya uongozi wa Nyalandu, kanda ya kati inaenda kubadilika, na kuongeza kanda zenye watu wenye uelewa juu ya umuhimu wa kuwa na watawala wanaoheshima katiba, sheria, haki, uhuru wa maoni na haki za kidemokrasia.

Viongozi wa CHADEMA, ni muhimu sana kutumia mbinu za chini kwa chini, kama ambavyo amekuwa akifanya Nyalandu, kuliko kutegemea mikutano ya wazi.

Nguvu kubwa itumike kuwapa watu elimu katika makundi madogo madogo. Watu wakiwa na uelewa, wakapata elimu sahihi, hakuna mtu asiye mnafiki atakayeunga upuuzi kama huu uliotokea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa.



Mkuu kuna kakikundi kasemaga ohh ukiingia jf unaweza hisi nchi inamachafuko...hapana kbs..jamii za watu wa kijijini huko wameshagundua kbs mambo fyongo yanavyoendelea hapa nchini!
Ni juz tu nilikua sehem...mama mmoja nikamtania maisha magumu .akaniambia ole wako usikike na Magu .kuwa maisha magumu ."ameniumiza sana juzi kumwambia mwanaume akaolewe huyu mtu hatuji msahau."..watu wakaanza kutokwa povu pale...!watu wamekuwa na uelewa mkubwa sana!
 
Anastahili. Kwa muda mfupi aliojiunga, ameonekana akifanya kazi kubwa ya kukiimarisha chama na kujiimarisha yeye mwenyewe. Zilionekana wazi juhudi zake binafsi alizokuwa akizifanya.

Na huyu alijiunga CHADEMA akitokea CCM kwa namna ya pekee kidogo. Nadhani ni mtu wa pili kutoka CCM aliyeamua kuacha ubunge na marupurupu yote. Walio wengi wanajiunga na upinzani baada ya kutemwa na CCM.

Hongera sana Nyalandu. Nina imani, chini ya uongozi wa Nyalandu, kanda ya kati inaenda kubadilika, na kuongeza kanda zenye watu wenye uelewa juu ya umuhimu wa kuwa na watawala wanaoheshima katiba, sheria, haki, uhuru wa maoni na haki za kidemokrasia.

Viongozi wa CHADEMA, ni muhimu sana kutumia mbinu za chini kwa chini, kama ambavyo amekuwa akifanya Nyalandu, kuliko kutegemea mikutano ya wazi.

Nguvu kubwa itumike kuwapa watu elimu katika makundi madogo madogo. Watu wakiwa na uelewa, wakapata elimu sahihi, hakuna mtu asiye mnafiki atakayeunga upuuzi kama huu uliotokea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa.
Wajumbe wamemtendea haki hata Lissu kwani huyu jamaa aliacha ubunge na kila kitu kupinga hatua ya Jiwe kukataza wabunge wa ccm kwenda hospitalini Nairobi kumjulia hali. Wameheshimu maamuzi yake
 
Mkuu kuna kakikundi kasemaga ohh ukiingia jf unaweza hisi nchi inamachafuko...hapana kbs..jamii za watu wa kijijini huko wameshagundua kbs mambo fyongo yanavyoendelea hapa nchini!
Ni juz tu nilikua sehem...mama mmoja nikamtania maisha magumu .akaniambia ole wako usikike na Magu .kuwa maisha magumu ."ameniumiza sana juzi kumwambia mwanaume akaolewe huyu mtu hatuji msahau."..watu wakaanza kutokwa povu pale...!watu wamekuwa na uelewa mkubwa sana!
Mkuu when the enlightenment comes into people's mind,there in no need of helping them to distinguish between rights and evils,light and darkness,they will see the truth with their own naked eyes and no propaganda will prevail against them.
20191124_134818.jpeg
 
Bravo Munyampaa. ...
Huyu jamaa nakubali sana harakati zake
 
Back
Top Bottom