Lazaro Nyalandu arudi rasmi Chama cha Mapinduzi akitokea CHADEMA

Lazaro Nyalandu arudi rasmi Chama cha Mapinduzi akitokea CHADEMA

Lazaro Nyalandu wa CHADEMA amerejea CCM kupitia mkutano mkuu wa CCM leo jijini Dodoma.

Nyalandu aliyekuwa mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA amesema walikuwa wamechukuliwa na walilazimishwa kumwimbia bwana lakini wao pamoja na mzee Lowassa, Sumaye na Dkt. Slaa wamegoma kuimba kwani bwana yuko CCM peke yake.

Nyalandu ameiomba radhi CCM na amewashukuru kwa kumpokea tena.

Kadhalika mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Lindi Dkt. Suleiman Methew naye amerejea CCM alikokuzwa kisiasa.

Kazi Iendelee.

PIA, SOMA=> Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu ajivua Ubunge; ajitoa CCM na kuomba kujiunga CHADEMA

FINALLY, following the departure of Mwendazake, the chickens are coming home to roost.

CCM ni ile ile? Mchezo unaanza upya episode 5 round 6. Zama mpya; kitabu kipya. Kaeni chonjo.
 
Alafu bado kuna vijana hawataki kufanya kazi, wamekomaa kushabikia siasa uchwara na kushinda humu jF wakilia na ugumu wa maisha.

Vijana wa jF tafuteni kazi mfanye,siasa iacheni kama ilivyo na ikitokea nba hamu ya kuchambua siasa, basi chambueni mchele.
😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Lazaro Nyalandu wa CHADEMA amerejea CCM kupitia mkutano mkuu wa CCM leo jijini Dodoma.

Nyalandu aliyekuwa mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA amesema walikuwa wamechukuliwa na walilazimishwa kumwimbia bwana lakini wao pamoja na mzee Lowassa, Sumaye na Dkt. Slaa wamegoma kuimba kwani bwana yuko CCM peke yake.

Nyalandu ameiomba radhi CCM na amewashukuru kwa kumpokea tena.

Kadhalika mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Lindi Dkt. Suleiman Methew naye amerejea CCM alikokuzwa kisiasa.

Kazi Iendelee.

PIA, SOMA=> Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu ajivua Ubunge; ajitoa CCM na kuomba kujiunga CHADEMA
Aisee
 
Back
Top Bottom