Uchaguzi 2020 Lazaro Nyalandu atangaza nia ya kuwania Urais kupitia CHADEMA

Uchaguzi 2020 Lazaro Nyalandu atangaza nia ya kuwania Urais kupitia CHADEMA

CCM safari hii hamna watangaza nia? Hivi 2015 walifika 42?
Wenye kuchora mawe hayaaa, wenye kulia bungeni na wapigwe tu haya.
Jaji mtumishi wa umma kumbe ana kadi ya siri haya, mwenye kuzunguka na Yutong lake na kipara ngoto twendee.
Koboko wa Tabora na kugonga twiga hayaa
Mwenye mvi zake kichwani twendee, haya lile joka la mdimu sawaa

Safari hii thubutuu wote mkia wameukunjia ndani ni mwendo wa pambio kusifu na kumwabudu 'yesu 'wao
 
Nyalandu kaninkera.
Ametoa sifa za maris walio pitia hicho kiti Tanzania ila karuka kuelezea kuhusu utawala wa Magu. Hapo tuna weka???? Tuna jiuliza je ataweza kweli kupeperusha bendera ya Chadema???
 
Tunamshukuru Nyalandu kwa kuchukua fomu na kupanua uwanja wa demokrasia ndani ya cdm, ila kosa la cdm kumpa mwanaccm mwingine nafasi uchaguzi uliopita, umetufunza mengi. Tunamwambia ajiandae kisaikolojia.
 
CCM safari hii hamna watangaza nia? Hivi 2015 walifika 42?
Wenye kuchora mawe hayaaa, wenye kulia bungeni na wapigwe tu haya.
Jaji mtumishi wa umma kumbe ana kadi ya siri haya, mwenye kuzunguka na Yutong lake na kipara ngoto twendee.
Koboko wa Tabora na kugonga twiga hayaa
Mwenye mvi zake kichwani twendee, haya lile joka la mdimu sawaa

Safari hii thubutuu wote mkia wameukunjia ndani ni mwendo wa pambio kusifu na kumwabudu 'yesu 'wao
Ukitangaza nia kupambana na Magu vijana wake wamesema wata kupoteza. Ndio kauli ya UVCCM
 
Hongera Mh.Nyalandu, hongera CDM kwa uwazi na uthubutu.Ni imani yangu CCM watajifunza democrasia kumpata mgombea.Hizo hadidhi za mila na desturi awamu ya 2 mgombea lazima aendelee hamtendei haki wanachama.
 
Zile awam zilimsaidia kusafirisha twiga hii awamu ikazipiga ban pesa zake hawezi iongelea
Nyalandu kaninkera.
Ametoa sifa za maris walio pitia hicho kiti Tanzania ila karuka kuelezea kuhusu utawala wa Magu. Hapo tuna weka???? Tuna jiuliza je ataweza kweli kupeperusha bendera ya Chadema???
 
safi hii, inadhihirisha kweli hiki ni chama cha kidemokrasia na sio sisiemu ambao wanajiandaa kuwatangazia mburura uchukuaji wa fomu huku ikitolewa ya mtu mmoja
Nyie mna demokrasia?.....yaani hamna tofauti na bus la abiria...nnje limeandikwa KAWE-POSTA lakini linaenda CHALINZE -BAGAMOYO na dereva wake anasema anabadilishia gia angani....

Bure kabisa...mnajiita chama cha demokeasia na maendeleo nnje lakini ndani hamna demokrasia yeyote....na ndo wapinga maendeleo namba moja.
 
Wote hao wanakwenda kumzuia lissu,halafu siku ya mwisho mwamba anajitokeza na magongo yake anachukua na kurudisha na kuteuliwa siku hiyo jiyo

Lissu ameona mbali ndio.maana kaomba michango ajitafunie za wajinga mapema
Lissu anawalaza bila nguo
Yaani haipiti Siku lazima mumtaje
 
Wote hao wanakwenda kumzuia lissu,halafu siku ya mwisho mwamba anajitokeza na magongo yake anachukua na kurudisha na kuteuliwa siku hiyo jiyo

Lissu ameona mbali ndio.maana kaomba michango ajitafunie za wajinga mapema
Hizo ni hisia zako. Chama chenye demokrasia kinaruhusu kila mwenye nia achukue fomu. Hebu jaribu kuchukua fomu CCM ndo utakiona cha mtema kuni. Fomu ni moja tu - ya mfalme!
 
Back
Top Bottom