Uchaguzi 2020 Lazaro Nyalandu atangaza nia ya kuwania Urais kupitia CHADEMA

Uchaguzi 2020 Lazaro Nyalandu atangaza nia ya kuwania Urais kupitia CHADEMA

Nimewasikiliza kwa umakini kabisa kati ya watia nia chadema ni nyalandu ndio amejieleza vizuri vipaumbele vyake naona apitishwe ili tumpigie kura akaturudishie wale wanyama wetu waliosafirishwa usiku wa maneno na mafisadi!
Naona huu ndio wakati mzuri!
Huwa inasemekana eti ana uraia wa Marekani pia; na Marekani ndiyo ilikuwa inamwandaa hasa kipindi cha Obama. Katiba yetu inasemaje kuhusu uraia pacha? Tuanzie hapo kwanza.

Kama hana hiyo dual citizenship nadhani ana exposure na sifa kuliko hao wenzake japo anashutumiwa pia kuwa na makandokando ya ufisadi.

Labda Membe aingie pia lakini kwa sasa Nyalandu ndiye bora zaidi ya wagombea wote waliokwishajitokeza...na wanyama wetu watarudi wote.
 
Huwa inasemekana eti ana uraia wa Marekani pia; na Marekani ndiyo ilikuwa inamwandaa hasa kipindi cha Obama. Katiba yetu inasemaje kuhusu uraia pacha? Tuanzie hapo kwanza.

Kama hana hiyo dual citizenship nadhani ana exposure na sifa kuliko hao wenzake japo anashutumiwa pia kuwa na makandokando ya ufisadi.

Labda Membe aingie pia lakini kwa sasa Nyalandu ndiye bora zaidi ya wagombea wote waliokwishajitokeza...na wanyama wetu watarudi wote.

Nyalandu sio kwamba ana makandokando bali ni moja wa mafisadi papa.

Akipewa nafasi atarudisha ufisadi na ujangili wa maliasili.

Tanzania itarudishwa kulekule ilikotoka kabla ya 2015
 
Nyalandu sio kwamba ana makandokando bali ni moja wa mafisadi papa.

Akipewa nafasi atarudisha ufisadi na ujangili wa maliasili.

Tanzania itarudishwa kulekule ilikotoka kabla ya 2015
Na huko alipo ndiko kwenye matambaa ya deki ashakuwa msafi kama lowassa!
 
Hizo ni hisia zako. Chama chenye demokrasia kinaruhusu kila mwenye nia achukue fomu. Hebu jaribu kuchukua fomu CCM ndo utakiona cha mtema kuni. Fomu ni moja tu - ya mfalme!
Unamaanisha YESU amejitengenezea fomu yake? [emoji3]
 
Huyu jamaa kwa chadema anawafaa sana namuona ana utulivu flani ambao rais anatakiwa awe nao, tundu lissu anabebwa zaidi na tukio la risasi lkn sio presidental material, lissu ajipange na ubunge urais ni kiatu kikubwa kwa sasa hivi.......
 
safi hii, inadhihirisha kweli hiki ni chama cha kidemokrasia na sio sisiemu ambao wanajiandaa kuwatangazia mburura uchukuaji wa fomu huku ikitolewa ya mtu mmoja
Hiyo democracy huwa tunaiona kipindi cha kampeni tu siku zinazobakia watu hawaishi kulia lia....
 
Nyalandu kajieleza vizuri kajikita kwenye mambo yanayogusa jamii sio yeye Kama yeye
 
Back
Top Bottom