Lazaro Nyalandu huyoo.. marekani!

Lazaro Nyalandu huyoo.. marekani!

Kama mtoa habari si mwanamke naombeni namba yake.
Wakati David Cameron alipotakaka haki za mashoga ziheshimiwe Watanzania wengi hatukumuelewa, natumaini sasa mtamuelewa vizuri kwa kuona ukubwa wa tatizo ulivyo.
Mwanaume kumshabikia mwanaume mwenzake wewe unadhani hapo kuna usalama?
 
Ni kosa, lakini kwangu siwezi mtuhumu kama ni kosa la mauaji sababu level ya kosa lake ni dogo kwangu, ukilinganisha na makosa yanayofanywa na hao hao walio tendewa kosa haswa pale wanapotaka kuboresha maisha ya raia wao.

Kwa yeyete aliye ishi nje ya nchi haswa USA anafahamu kua , kusaidia watu kuingia USa ni jambo la kawaida sana na asilimia 99 ya walio usa wamengia kwa kugushi , wamepata kazi kwa kughushi na hata uhalali walio upata kuishi hapo udanganyifu umetumika .

Kwa Nyalandu kufanya yaliofanyika haalikua ni jambo la ajabu kwa jumuiya za wageni na kinawezwa kitwa kitendo cha kizalendo zaidi. Pia hata ukizingatia umri wake ulikua mdogo ,baadhi ya maamuzi yanaweza kuwa hayakua sahihi kipindi hicho . Ukizingatia jamii iliyo mzunguka ilikua inakubaliana na kinachofanyika.

Haya mengine yote ni chuki binafsi,tuanze kumjadili Nyalandu kwa sasa anachokifanya kama waziri mwenye dhamana sio past yale , ambayo alikua kijana zadi .
ndg. naona umejipanga kweli kumtetea huyu m2.amekuolea dadako!!?
 
mlioko marekani,lilireport hilo linyalandu....kama linakuja huko,inawezekana authorities...haziko aware.....undava undava tu!
 
Wakati David Cameron alipotakaka haki za mashoga ziheshimiwe Watanzania wengi hatukumuelewa, natumaini sasa mtamuelewa vizuri kwa kuona ukubwa wa tatizo ulivyo.
Mwanaume kumshabikia mwanaume mwenzake wewe unadhani hapo kuna usalama?

Acha ushamba kijana,kwanza unajuaje kama mimi mwanaume?na pili issue hapa sio ushabiki bali ukweli unaotokana na upotoshaji wa awali,tunasaidia kuwapa ukweli msidanganyike.
 
Huyu ni bwana mdogo wetu, enzi zile kibaha ( Scandia) tukiongea mambo ya vyama vingi alikuwa bado anapangusa kamasi kwa pembe ya shati.

mlioko marekani,lilireport hilo linyalandu....kama linakuja huko,inawezekana authorities...haziko aware.....undava undava tu!
 
si kila anayeweza kumjaza mwanamke mimba ni mwanamme.

i know that why nikasema unajuaje kwamba mimi ni mwanaume?humu mtu anaweza kutumia avatar ya mwanaume na ID yenye jina la kiume kumbe demu and vice versa,so don't try to be a judge kwa kuzingatia ID na avatar,utapotea mbaya mzee,hunijui sikujui kwanini unadhani mimi ni mwanaume tu,naweza kuwa demu wa kawaida au demu lakini najihusisha na vitendo vya kisagaji vilevile,na wewe pia unaweza kuwa na mwili wa simba lakini vitendo vya farasi..mpo wengi mbona wa hivyo wala sio ajabu tena,lakini hapa si pahala pake,hapa aidha ponda hoja au jibu,that's all man,sio kujadili avatar au id
 
Maneno kuntu haya!!

hii kauli jirani yangu wa zamani swahili na mafia pale bi. chau anapenda sana kuitumia,siku yule mtoto wa gerezani kota za bandari gea habib nae anaipenda sana,kiufupi ni kauli pendwa ya watu wa taarab kama hao!
 
Back
Top Bottom