Lazaro Nyalandu na Aunt Ezekiel Wachanwa Bungeni!!!

Lazaro Nyalandu na Aunt Ezekiel Wachanwa Bungeni!!!

Kindly,give him a break. Mlikuwa wapi siku zote? Yaani leo ni mwendo wa kubadili zamu na ID
 
Pale unapoichukia nyama ya nguruwe ,alafu mchuzi wake unaunywa, ila wanasiasa wa bongo kama sigara kali.Suluhisho ya nchi hii ni MGOMBEA BINAFSI kwani yupo huru ,hivi vyama vya siasa vimekuwa kama magenge ya kutetea na kutunza wahuni, yaani wanateteana na hili swala la mgombea binafsi CCM na CHADEMA, hawatalipitisha kwani wamezoea kuteteana na ndio maana katiba mpya tutafute njia nyingine ya kudiscuss na si kulitumia bunge kwani tutapata katiba ya kukizi matakwa ya wanasiasa na si ya wananchi.
 
Back
Top Bottom