She loves Me
JF-Expert Member
- Dec 30, 2017
- 809
- 939
Mimi sio fala, hv munadhani nimesahau CHADEMA walivyonichania mkeka 2015. Dr Slaaaaaaa..................... he! mara gea nga:! Baada ya dk 2 naskia ....tumampendaaaaaa.... Lowassaaaaaaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Washaachana na korosho wamekuja na ushuzi sorry uzushi mwingineCCM mnahangaika kuliko hata kuku anaetaka kutaga!
xxxxxxx this message was deleted.Hahahaha
Mizee ya kukurupuka nyinyi kubadili gear angani uwiii
Ngojea fatma awamalize watoto wenu wa kiume ndio mtapata adabu nyinyi chadrama walahi
Hamjui mapepo yanavyo tembea walahi
Mkaribisheni tu na atakuja na mapepo yake ya ushoga walahi
Wachina wana maisha gani mazuri? Kukosekana upinzani China ndo kumewafanya washindwe kufaidi maendeleo yao,yanaishia kuimarisha serikali tu,huku wao wakihangaika hadi kuchoma mahindi kariakoo.China kuna upinzani gani ?
Wewe unadhani kugombea urais ni sawa na kugombea u-miss au kuuza sura?Taarifa zilizopatikana kutoka kwa mmoja wa wadau wa ngazi za juu katika Chama Cha Demokrasia na Maendeleo zimeeleza kwamba chama hicho (CHADEMA) kiko katika mpango wa kumtumia Mh. Lazaro Nyalandu aliyekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii katika Serikali ya awamu ya Nne (4) kuwa mgombea Urais wa chama hicho kwa upande wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Fatma Karume kwa upande wa Serikali Ya Mapinduzi Ya Zanzibar katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2020.
Aidha taarifa hizo zimeeleza kwamba,mpango uliokuwepo hapo awali haukuwa ukimhusisha Lazaro Nyalandu kugombea kiti hicho cha Urais na badala yake alikuwa agombee ubunge katika jimbo la Arusha mjini ambapo Godbless Lema angegombea Hai na Freeman Mbowe angegombea Moshi Mjini, aidha mpango huo wa awali ulilenga kuliimarisha jimbo la moshi mjini kichama kutokana na kuonekana kulega lega katika kipindi cha hivi karibuni hasa baada ya jimbo hilo kuachiwa na marehemu Philemon Ndesamburo .
Aidha pia katika mpango uliokuwepo awali ulimhusisha katibu mkuu wa chama cha wananchi CUF Maalim Seif Sharif Hamadi kugombea urais kwa upande wa Tanzania visiwani kupitia CHADEMA kutokana na mgogoro unaoendelea katika chama cha wananchi CUF, aidha katika kutimiza mpango huo wa awali Chama cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA) kililitumia baraza lake la wazee September 12,2018 kumkaribisha Maalim Seif Sharif Hamad Kugombea Urais kupitia chama hicho ambapo Mwenyekiti wa baraza hilo la wazee “Hashimu Juma Issa” alitoa ombi hilo katika mkutano huo uliowahusisha waandishi wa vyombo mbalimbali vya habari, pia chanzo kimebainisha kwamba kusudio kuu la kumtumia Hashimu Juma Issa ambaye ni mwenyekiti wa baraza hilo la wazee lilikuwa ni kuteka hadhara ya wananchi Tanzania Visiwani kutokana na asili ya Mwenyekiti Wa Baraza hilo kuwa ni Zanzibar, Tofauti na matarajio ya CHADEMA Maalim Seif Sharif Hamad hakuonyesha kuunga mkono suala hilo kama ambavyo ilitarajiwa.
Kwa upande wa mgombea Urais wa Serikali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania Chama cha Demokrasia na Maendeleo kiliweka Tumaini lake kwa Waziri mkuu mstaafu Mh. Fredrick Sumaye na Mbunge Wa Jimbo la Singida mashariki na aliyekuwa Rais wa TLS Mh. Tundu Antipas Lissu, aidha chanzo kimebainisha kwamba chama hicho baada ya kufanya uchambuzi wa kina kimeona nguvu ya kisiasa aliyonayo Lazaro Nyalandu ni kubwa kuzidi nguvu ya kisiasa aliyonayo Waziri mkuu mstaafu Mh. Fredrick Sumaye na hivyo Chaguo la kwanza la chama limekuwa Mh. Nyalandu.
Aidha pia chanzo kimeeleza kwamba,Viongozi wakuu wa CHADEMA wamekuwa wakifurahishwa na harakati za kisiasa zinazofanywa na Fatma Karume ambaye ni Rais wa TLS na hivyo wanaamini anajikusanyia mtaji wa kisiasa kupitia harakati hizo anazozifanya, aidha kutokana na kutokuwepo kwa uelekeo wa kumpata maalim seif,uongozi wa chama hicho kwa sasa umeelekeza nguvu zake za ushawishi kwa Fatma Karume kwa kumshirikisha katika mambo mbalimbali ya kiuharakati kama njia mojawapo ya kujenga ukaribu nae wa kisiasa sambamba na kumfanyia uchunguzi wa kina.
Mtoa habari huyo amethibitisha kwamba Fatma Karume hana taarifa Rasmi juu ya makusudio ya chama cha Demokrasia na Maendeleo kumuhitaji na ndio sababu iliyopelekea kutokutoa jibu la moja kwa moja hivi karibuni alipokuwa akifanya mahojiano na moja ya chombo cha habari nchini.
Jitihada zinafanyika kupata habari Zaidi.
Kwani ushoga uko chadema au Tanzania akili za kijana wa kitanzania huyo tunaemtegemea aje awatete vijana wenzakeHahahaha
Mizee ya kukurupuka nyinyi kubadili gear angani uwiii
Ngojea fatma awamalize watoto wenu wa kiume ndio mtapata adabu nyinyi chadrama walahi
Hamjui mapepo yanavyo tembea walahi
Mkaribisheni tu na atakuja na mapepo yake ya ushoga walahi
Au pasipo na shetani, hakuna kumuabudu Mungu.Muda ni mwalimu mzuri sana. Wacha tusubiri tuone itakuwaje. Yote juu ya yote nachelea kusema kuwa hakuna maendeleo ya kweli pasipo upinzani.
Maana ya upinzani ni kukosoa na kushauri pale serikali inapoenda tofauti na vipaumbele/Sera juu ya taifa husika. Pasipo upinzani hakuna maendeleo ya kweli katika nchi za kiafrika.
Tanzania kwanza
Aina hii ya uandishi ni ya gazeti la Tanzanite na Jamvi la Habari!Taarifa zilizopatikana kutoka kwa mmoja wa wadau wa ngazi za juu katika Chama Cha Demokrasia na Maendeleo zimeeleza kwamba chama hicho (CHADEMA) kiko katika mpango wa kumtumia Mh. Lazaro Nyalandu aliyekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii katika Serikali ya awamu ya Nne (4) kuwa mgombea Urais wa chama hicho kwa upande wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Fatma Karume kwa upande wa Serikali Ya Mapinduzi Ya Zanzibar katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2020.
Aidha taarifa hizo zimeeleza kwamba,mpango uliokuwepo hapo awali haukuwa ukimhusisha Lazaro Nyalandu kugombea kiti hicho cha Urais na badala yake alikuwa agombee ubunge katika jimbo la Arusha mjini ambapo Godbless Lema angegombea Hai na Freeman Mbowe angegombea Moshi Mjini, aidha mpango huo wa awali ulilenga kuliimarisha jimbo la moshi mjini kichama kutokana na kuonekana kulega lega katika kipindi cha hivi karibuni hasa baada ya jimbo hilo kuachiwa na marehemu Philemon Ndesamburo .
Aidha pia katika mpango uliokuwepo awali ulimhusisha katibu mkuu wa chama cha wananchi CUF Maalim Seif Sharif Hamadi kugombea urais kwa upande wa Tanzania visiwani kupitia CHADEMA kutokana na mgogoro unaoendelea katika chama cha wananchi CUF, aidha katika kutimiza mpango huo wa awali Chama cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA) kililitumia baraza lake la wazee September 12,2018 kumkaribisha Maalim Seif Sharif Hamad Kugombea Urais kupitia chama hicho ambapo Mwenyekiti wa baraza hilo la wazee “Hashimu Juma Issa” alitoa ombi hilo katika mkutano huo uliowahusisha waandishi wa vyombo mbalimbali vya habari, pia chanzo kimebainisha kwamba kusudio kuu la kumtumia Hashimu Juma Issa ambaye ni mwenyekiti wa baraza hilo la wazee lilikuwa ni kuteka hadhara ya wananchi Tanzania Visiwani kutokana na asili ya Mwenyekiti Wa Baraza hilo kuwa ni Zanzibar, Tofauti na matarajio ya CHADEMA Maalim Seif Sharif Hamad hakuonyesha kuunga mkono suala hilo kama ambavyo ilitarajiwa.
Kwa upande wa mgombea Urais wa Serikali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania Chama cha Demokrasia na Maendeleo kiliweka Tumaini lake kwa Waziri mkuu mstaafu Mh. Fredrick Sumaye na Mbunge Wa Jimbo la Singida mashariki na aliyekuwa Rais wa TLS Mh. Tundu Antipas Lissu, aidha chanzo kimebainisha kwamba chama hicho baada ya kufanya uchambuzi wa kina kimeona nguvu ya kisiasa aliyonayo Lazaro Nyalandu ni kubwa kuzidi nguvu ya kisiasa aliyonayo Waziri mkuu mstaafu Mh. Fredrick Sumaye na hivyo Chaguo la kwanza la chama limekuwa Mh. Nyalandu.
Aidha pia chanzo kimeeleza kwamba,Viongozi wakuu wa CHADEMA wamekuwa wakifurahishwa na harakati za kisiasa zinazofanywa na Fatma Karume ambaye ni Rais wa TLS na hivyo wanaamini anajikusanyia mtaji wa kisiasa kupitia harakati hizo anazozifanya, aidha kutokana na kutokuwepo kwa uelekeo wa kumpata maalim seif,uongozi wa chama hicho kwa sasa umeelekeza nguvu zake za ushawishi kwa Fatma Karume kwa kumshirikisha katika mambo mbalimbali ya kiuharakati kama njia mojawapo ya kujenga ukaribu nae wa kisiasa sambamba na kumfanyia uchunguzi wa kina.
Mtoa habari huyo amethibitisha kwamba Fatma Karume hana taarifa Rasmi juu ya makusudio ya chama cha Demokrasia na Maendeleo kumuhitaji na ndio sababu iliyopelekea kutokutoa jibu la moja kwa moja hivi karibuni alipokuwa akifanya mahojiano na moja ya chombo cha habari nchini.
Jitihada zinafanyika kupata habari Zaidi.
Mkuu si unafahamu population ya China, linganisha na hiyo idadi ya wachoma mahindi wote walioko Africa. Sio Tanzania tuu! Na ninashaka kama unajua Geopolitics ya wachina hebu soma kidogo upate ufahamu.Wachina wana maisha gani mazuri? Kukosekana upinzani China ndo kumewafanya washindwe kufaidi maendeleo yao,yanaishia kuimarisha serikali tu,huku wao wakihangaika hadi kuchoma mahindi kariakoo.
Umesoma mpaka mwisho nilichoandika? Nilikuwa specific Africa kwasababu ya African nature. Kama unauelewa mpana juu ya Siasa za kimataifa comparing to Africa's political nature utanielewa.China kuna upinzani gani ?
Leo umekuja eh?Utani mwingine mbaya sana.. duh..