Tetesi: Lazaro Nyalandu na Fatma Karume kugombea Urais kupitia CHADEMA 2020

Tetesi: Lazaro Nyalandu na Fatma Karume kugombea Urais kupitia CHADEMA 2020

Umesoma mpaka mwisho nilichoandika? Nilikuwa specific Africa kwasababu ya African nature. Kama unauelewa mpana juu ya Siasa za kimataifa comparing to Africa's political nature utanielewa.
Nina uelewa sana tuu...
 
[emoji23][emoji23][emoji23]eeeeh unajifananisha na China Taifa Lina miaka zaidi ya 40000.....mkuu au unachart umelala usingizini...
Hivi China liliwahi kuwa koloni la taifa lingine?
 
Muda ni mwalimu mzuri sana. Wacha tusubiri tuone itakuwaje. Yote juu ya yote nachelea kusema kuwa hakuna maendeleo ya kweli pasipo upinzani.
Maana ya upinzani ni kukosoa na kushauri pale serikali inapoenda tofauti na vipaumbele/Sera juu ya taifa husika. Pasipo upinzani hakuna maendeleo ya kweli katika nchi za kiafrika.
Tanzania kwanza
Unachosema ni sawa kamanda..lakini tunahitaji upinzani wa kweli na wa kizalendo ambao unakuwa positive kwa maendeleo ya Taifa..lakini kwa upinzani huu wa kushibisha matumbo na ubinafsi...nooo wayyyyy...! Its rubbish...tunajikinga kwenye mwavuli wa upinzani kumbe upinzani ambao una maslahi hinafsi...tutaendelea kweli..??? Mi nadhani kwa hali ya sasa na Rais huyu hatuhitaji upinzani...tufanye kama Wachina walivyoamua Rais wao aendelee mpaka awatakapoamua tena...
 
Write your reply...umesema sana ,ila yote sahihi muombe basi aingilie kati swala la wazee wastahafu ili nawo wampe ,baraka kama alivyo ingilia swala la korosho,sababu kumpangia mzee haki ya jasho lake ni dhambi
 
Waanze kujiandaa kuanzia sasa,sio ikifika uchaguzi ndio mnakurupuka huko..lols
 
NGOJA NI KA PIGE PUNYETO MAANA NI BORA KULIKO HIZI SARAKASI ZA KUOTA !!!!! 💦💦💦💦💦💦💦💦💦💦💦💦
 
Halafu mi sikupenda ile edited pic ya rahisi mtarajiwa akiwa amemubeba askari wanyamapori. Halafu ule uzi humu Jf uliosema " ukiona demu na nywele ziko breached ujue .... huo nao sikuupenda kabisaa
 
Back
Top Bottom