Uchaguzi 2020 Lazaro Nyalandu ni mgombea bora mara 100 ya Membe

Sio magu
 
Kwa aliyoyaongea Membe jana sioni kama hata yule PhD wenu anaweza kitu. Sema CCM mnategemea wale watu hoi 99% na Police
 
Mkuu akili za wafuasi wa "chama kile" wanazijua wenyewe.
Mfano tumeuona kwa RC mstaafishwa kipenzi ni wao hao walikuwa wakimsifia na ni wao haohao wanamponda kana kwamba hakuwa komredi kwao!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…