Lazaro Nyalandu: Nitapeleka muswada binafsi kurudisha mchakato wa katiba ya Warioba ili tupate katiba mpya

Lazaro Nyalandu: Nitapeleka muswada binafsi kurudisha mchakato wa katiba ya Warioba ili tupate katiba mpya

Better late than never! Hakika watu wenye mawazo ya Nyalandu wanaweza kuwa wengi ndani ya CCM ila unafiki unawaponza.
 
Hoja nzuri sana ila bwana huyu pamoja na mambo mengine njaa inamuwashawasha
 
Nyalandu ufipa wanakusifia ila ukitoa wazo tofauti la lao ujiandae kwa matusi as well maana mwenzio Nape juzi katoa maoni yake lkn matusi yaliyofuata hapo daah angekuja mgeni asingeamin kama huyu jamaa walikua wanamuita mzalendo
 
Baada ya kuumwa njaa ya madaraka ndio anakumbuka kuwa Rasimu ya Warioba ni muhimu, kipindi kile hakujua kabisa au pengine hakuwa Bungeni....Siasa buanaaa
 
Kukwama kwa mchakato wa katiba mpya ni mpango wa Mungu; aliwainua watumishi wake kuapa hadharani kuwahubiria watu wake kuikataa katiba pendekezwa. Kisha Mungu akawaonyesha watu ishara kuwa hata ile rasimu ya Warioba isingetosha. Mungu atusaidie sana.
 
Ivi kweli akili inakuja baada ya kutokuwepo kwenye system?
 
View attachment 612569 View attachment 612568 Anaandika Mh Mbunge: Lazaro Nyalandu

NAKUSUDIA kuwasilisha kwa SPIKA wa BUNGE, Mh. Job Ndugai, Mb., AZMA yangu ya kuleta MUSWADA binafsi wa SHERIA katika KIKAO kijacho cha BUNGE itakayoweka SHARTI la kurejea UPYA mjadala wa KATIBA MPYA ya Tanzania, kwa KUZINGATIA RASIMU ya KATIBA kama ilivyowasilishwa na TUME ya JAJI WARIOBA. (Lazaro S. Nyalandu, Mb., Singida Kaskazini-CCM).
(Pichani, nikiwa Kijijini Mgori, [HASHTAG]#SingidaKaskazini[/HASHTAG], jana wakati wa hafla ya sherehe za Mahafali ya Kidato cha IV, Sekondari ya Mwanamwema Shain)

[HASHTAG]#PrayForTunduLissu[/HASHTAG]
Nitakuhrshimu sana kiongozi ukiweza Fanya usubutu huo , Tanzania kwanza ccm badae
 
Singida ina watu smart ...ukombozi wa nchi hii utaletwa Na vijana wa singida.
sharti waungane wawe kitu komoja...mwigulu..na wenzako acheni ujinga unganeni Na wenzenu lazaro Na lissu muisaidie hii nchi.
huoni mnavyoaminika hata ts mmejaa wasingida
amkeni muisaidie hii nchi


Kam kitilia Mkumbo,
by the way U-Smart hautoshi bila kuw ana Knowledge amabyo inaleta WISDOM,
so WISDOM ni kilakitu.
 
Nyalando nadhani anaelekea kurukwa na akili.
Mchakato ulifikia hatua ya kupiga kura ya maoni,na waliopitisha kwa wingi ni wao wabunge,simuelewi anavyotaka kurudi reverse,kisheria tunangoja tu kura ya maoni.
Ni kura ya hapana tu itarudisha upya mchakato,Nyalando usitake kutuharibia nchi kisa tu umenyimwa uwaziri,mbona hukusema haya wakati unauza vitalu
Mbona mnaogopa mchakato wa Katiba mpya
Nyie mnataka kuendesha Taifa hili bora liende tu

Ova
 
Back
Top Bottom