Lazaro Nyalandu: Nitapeleka muswada binafsi kurudisha mchakato wa katiba ya Warioba ili tupate katiba mpya

Lazaro Nyalandu: Nitapeleka muswada binafsi kurudisha mchakato wa katiba ya Warioba ili tupate katiba mpya

View attachment 612569 View attachment 612568 Anaandika Mh Mbunge: Lazaro Nyalandu

NAKUSUDIA kuwasilisha kwa SPIKA wa BUNGE, Mh. Job Ndugai, Mb., AZMA yangu ya kuleta MUSWADA binafsi wa SHERIA katika KIKAO kijacho cha BUNGE itakayoweka SHARTI la kurejea UPYA mjadala wa KATIBA MPYA ya Tanzania, kwa KUZINGATIA RASIMU ya KATIBA kama ilivyowasilishwa na TUME ya JAJI WARIOBA. (Lazaro S. Nyalandu, Mb., Singida Kaskazini-CCM).
(Pichani, nikiwa Kijijini Mgori, [HASHTAG]#SingidaKaskazini[/HASHTAG], jana wakati wa hafla ya sherehe za Mahafali ya Kidato cha IV, Sekondari ya Mwanamwema Shain)

[HASHTAG]#PrayForTunduLissu[/HASHTAG]
'I WONDER EVEN OUR CREATOR GIVE US FREEDOM OF CHOICES BUT HE STILL LOVE US ALL"
 
Wanaharakati wa ccm bwana mi wananiachaga hoi sana...

Mtu akipokonywa cheo fulani huanza kujifanya mwanaharaki...
 
Naunga mkono hoja, ingawa nina mashaka na huyo mwasilishaji wa hoja.
 
Hakuna atakaye kubali kushitakiwa baada ya kustaafu watavuluga tena kuokoa pesa za bunge hilo tuache
 
Hivi anaweza kukaa meza moja na Nkamia wakajadili hoja za chama kweli?
 
View attachment 612569 View attachment 612568 Anaandika Mh Mbunge: Lazaro Nyalandu

NAKUSUDIA kuwasilisha kwa SPIKA wa BUNGE, Mh. Job Ndugai, Mb., AZMA yangu ya kuleta MUSWADA binafsi wa SHERIA katika KIKAO kijacho cha BUNGE itakayoweka SHARTI la kurejea UPYA mjadala wa KATIBA MPYA ya Tanzania, kwa KUZINGATIA RASIMU ya KATIBA kama ilivyowasilishwa na TUME ya JAJI WARIOBA. (Lazaro S. Nyalandu, Mb., Singida Kaskazini-CCM).
(Pichani, nikiwa Kijijini Mgori, [HASHTAG]#SingidaKaskazini[/HASHTAG], jana wakati wa hafla ya sherehe za Mahafali ya Kidato cha IV, Sekondari ya Mwanamwema Shain)

[HASHTAG]#PrayForTunduLissu[/HASHTAG]
Nyalandu sidhani kama anafikiri sawasawa. Suala la Katiba haliwezi kuanzishwa na mtu mmoja Bungeni au nje ya Bunge. Akitaka afanikiwe ni lazima lianzie kwenye sera za chake kwanza. Lakini kama chama chake hakitopokea mapendekeo yake na yeye anaamini yuko sahihi anapaswa kujiondoa kwenye chama hicho ili aende kwenye chama ambacho kitabeba ajenda hiyo ya Katiba Mpya.
 
Naam naunga mkonyo hoja, hili suala la katiba mpya sio la wapinzani peke yake
 
Nyalandu sidhani kama anafikiri sawasawa. Suala la Katiba haliwezi kuanzishwa na mtu mmoja Bungeni au nje ya Bunge. Akitaka afanikiwe ni lazima lianzie kwenye sera za chake kwanza. Lakini kama chama chake hakitopokea mapendekeo yake na yeye anaamini yuko sahihi anapaswa kujiondoa kwenye chama hicho ili aende kwenye chama ambacho kitabeba ajenda hiyo ya Katiba Mpya.
Haki ya Mungu Walahi

Subiria tu atagusa maslahi yako pia kama wakati ule Jf inapelekwa mahakamani unaanza kulia lia VoA oh mimi ni mmoja wa waanzilishi wa Jf sijui nini

Nimeamini mtu mzima anapozeeka anarudi kwenye utoto wewe ndio upo kwenye hiyo phase sasa
 
View attachment 612569 View attachment 612568 Anaandika Mh Mbunge: Lazaro Nyalandu

NAKUSUDIA kuwasilisha kwa SPIKA wa BUNGE, Mh. Job Ndugai, Mb., AZMA yangu ya kuleta MUSWADA binafsi wa SHERIA katika KIKAO kijacho cha BUNGE itakayoweka SHARTI la kurejea UPYA mjadala wa KATIBA MPYA ya Tanzania, kwa KUZINGATIA RASIMU ya KATIBA kama ilivyowasilishwa na TUME ya JAJI WARIOBA. (Lazaro S. Nyalandu, Mb., Singida Kaskazini-CCM).
(Pichani, nikiwa Kijijini Mgori, [HASHTAG]#SingidaKaskazini[/HASHTAG], jana wakati wa hafla ya sherehe za Mahafali ya Kidato cha IV, Sekondari ya Mwanamwema Shain)

[HASHTAG]#PrayForTunduLissu[/HASHTAG]
Kwa hili nakuunga mkono kwa asilimia zote Mbunge wangu.
 
Anatafuta kufutwa uanachama na Baba Bashite.
Matumbo yamekuwa tatizo juu ya mustakabari wa watanzania,tunahitaji watu kama wasiojari mustakabari wa matumbo yao.
Kama ni vyama vipo vingi na kama wote watajitolea hawana ubavu wa kuwatosa.
 
Dah.... Alijua atapata UPM akakosa.... akasubiri uwaziri akakosa...akakosa hata uDC....wakati ndoto zake za kimarekani zilikuwa ni uraisi...bado kidogo ataokota makopo[emoji41] [emoji41] [emoji87] [emoji13]
 
Sema tatizo akipewa uwaziri ataendelea na hii movement
 
Back
Top Bottom