Pius J. Kiwarya Lema
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 1,097
- 567
Wanatufanya hatunazo
.....Hamjaelewa.anataka itungwe sheria ya kuruhusu rasimu ya katiba kabla ya kupigiwa kura ya maoni irudishwe bungeni ili kuangalia uwezekan wa kuanza upya .
Kwa hiyo mswada huo utasomwa mara ya kwanza utaletwa kwa wadau sio leo hiyo ? halafu unasomwa mara ya ya pili sio leo ?
hiyo ukipita sheria inatungwa na kusainiwa na ....sio leo hiyo ?
Bunge la katiba liitishwee na ... wajumbe wanateuliwa na kuitishwa sio leo hiyo ..wakajadili mbili au tatu ? na acheni masihara
.....Hamjaelewa.anataka itungwe sheria ya kuruhusu rasimu ya katiba kabla ya kupigiwa kura ya maoni irudishwe bungeni ili kuangalia uwezekan wa kuanza upya .
Kwa hiyo mswada huo utasomwa mara ya kwanza utaletwa kwa wadau sio leo hiyo ? halafu unasomwa mara ya ya pili sio leo ?
hiyo ukipita sheria inatungwa na kusainiwa na ....sio leo hiyo ?
Bunge la katiba liitishwee na ... wajumbe wanateuliwa na kuitishwa sio leo hiyo ..wakajadili mbili au tatu ? na acheni masihara