Lazaro Nyalandu: Tatizo kubwa la CHADEMA ni Uongozi wa juu, CCM imejaliwa mfumo

Lazaro Nyalandu: Tatizo kubwa la CHADEMA ni Uongozi wa juu, CCM imejaliwa mfumo

Kwahiyo Lisu ambae hajawa kama Lowasa kawapa faida gani?

Lowasa aliwapa chadema wabunge 60.
Lisu amewapa chadema mbunge mmoja.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bora nyarandu angegombea urais
Angepewa alichokitaka sasa hivi ingekuwaje maana tayari yupo CCM. Au alitaka madaraka ndipo abaki? Unampaje uongozi malaya wa kisiasa kama huyu?
 
Back
Top Bottom