K Kihava JF-Expert Member Joined May 23, 2016 Posts 4,815 Reaction score 4,157 May 6, 2021 #241 Crimea said: Kwahiyo Lisu ambae hajawa kama Lowasa kawapa faida gani? Lowasa aliwapa chadema wabunge 60. Lisu amewapa chadema mbunge mmoja. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bora nyarandu angegombea urais Click to expand... Angepewa alichokitaka sasa hivi ingekuwaje maana tayari yupo CCM. Au alitaka madaraka ndipo abaki? Unampaje uongozi malaya wa kisiasa kama huyu?
Crimea said: Kwahiyo Lisu ambae hajawa kama Lowasa kawapa faida gani? Lowasa aliwapa chadema wabunge 60. Lisu amewapa chadema mbunge mmoja. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bora nyarandu angegombea urais Click to expand... Angepewa alichokitaka sasa hivi ingekuwaje maana tayari yupo CCM. Au alitaka madaraka ndipo abaki? Unampaje uongozi malaya wa kisiasa kama huyu?
Etwege JF-Expert Member Joined Jul 4, 2018 Posts 7,207 Reaction score 17,674 May 6, 2021 #242 Mbowe ni kama Mungu mtu hapo juu