mjombakim
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 1,193
- 1,854
Jogooo akiwika tu jimbo lipo mikonini mwa nyalandu!Huyu Ramadhan ndo wa utekaji wa yule Dr. Hivi Dr yupo wapi siku hizi? Nyalandu hili jimbo anashinda asubuhi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jogooo akiwika tu jimbo lipo mikonini mwa nyalandu!Huyu Ramadhan ndo wa utekaji wa yule Dr. Hivi Dr yupo wapi siku hizi? Nyalandu hili jimbo anashinda asubuhi.
Aliyempendekeza agombee ubunge amelenga kumvua nguoHuyu Rama nasikia ni mmafia kweli kweli
Binafsi nimekuelewa. Hivi mshahara wa TISS hautoshi hadi akimbilie ubunge??????
Kuna nini kwenye ubunge????
Bashite na Gambo wameacha VX 8 za uRC kisa ubunge!
Lazima tujiulize sana kuna nini kwenye ubunge.
Huyo ni Hatari sana,hafai katika jamii ,Dr Ulimboka anamjua vizuri sana! Ni Mafia hapigi picha kabisa ili akifanya matukio iwe ngumu kumjua na kumtrace!! Jiwe anataka kumleta bungeni akamilishe Ngwe yake ya pili ya kuwanunua wapinzani wote!! Mission zao zimefeli Oct 28 wanachinjiwa baharini wote GAIDI na JIWE.Yaani kudhihirisha kwamba huyu mwamba ni MAFIA kweli hadi wadau humu ndani wameshindwa kutupia picha yake. Naona picha 2 tofauti.
Ndugu Ighondu
TISS mbobezi huyu.Ramadhani Ighondu
Afisa usalama huyoHuyu Ramadhan ndo wa utekaji wa yule Dr. Hivi Dr yupo wapi siku hizi? Nyalandu hili jimbo anashinda asubuhi.
Mkuu mimi siyo shabiki au muumini wa kuoana kucha lakini lile suala la kugoma madaktari liliuwa watu wengi kuliko kuzuwia vifo.Sasa huyo gaidi ataenda kuomba kura kwa Nani kama alimtekamtu anayetetea afya Za wananchi?
Labda akaombe kura makaburi
Unamdhuru Docta? Mtu ambaye kwa namna moja au nyngine yupo kwenyebenchi la ufundi la Muumbaji.
Au wew hutakaa uumwe? Shit!
Mkuu we acha tu, hii nchi ngumu Sana. Hivi vyama vyote vya siasa ni matawi, nimeshangaa eti hawa jamaa wamewahi ongozwa na mwenyekiti wa vijana kutoka pale Eagle.KARUDI NA MGOMBEA URAISI.
Sura yake inasadifuHuyu Rama nasikia ni mmafia kweli kweli
Akimteka Dr.Ulimboka,Prof Koboko,
Ighondu ndio yule alikuwa TISS?
Tumeshasahau kama walienda holiday na Aunty Ezekiel kwa kutumia pesa walipa kodi eti kwa kisingizio wanatangaza utalii.Hivi Nyalandu alisharudisha Twiga wetu?
Acha blah blahMajimbo ya Singida yote yanaenda Chadema kwa nguvu ya Tundu Lissu
Ndiyo katambi alivyo shindwa kurudisha fomu tu 2015 ya ubunge nikajua uyu sio kirembo sana mara katekwa ata aliyepo asaivi pambalu nae hakuna kitu mazeeMkuu we acha tu, hii nchi ngumu Sana. Hivi vyama vyote vya siasa ni matawi, nimeshangaa eti hawa jamaa wamewahi ongozwa na mwenyekiti wa vijana kutoka pale Eagle.
Tujidanganye na nani,watu hawali sgr sijui flyova,hawajalala wanajua manyanyaso ya traffic na tra,wanajua watoto wao wamelundikana madarasani kama wako zizini ,wanajua wamama wanalala wawili wawili mahospitali..ccm wakijenga hospital 1 wakati zinahitajika 10 wanasema wameleta maendeleo,labda wajinga tuu ndio wanaweza chagua ccm..jIDANGANYENI MKIDHANI WATU WAMELALAAAAAAAA KIHIVYO