sayoo
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 5,280
- 7,930
Kaaah hebu siku moja nipe chabo et#5&kusimama naked mbele ya kioo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaaah hebu siku moja nipe chabo et#5&kusimama naked mbele ya kioo
Kukata viuno/kudance mbele ya kioo
Mhh!! Kama hamjashera ukoo cjuiiKuchekelea\kufurahia mada zinazomhusu makonda ila akitokea mtu unajidai kupondea
Mhh!! Kama hamjashera ukoo cjuii
Kuchezea mate mazito kwa kuyapuliza kama puto akitokea mtu unayameza fasta1.Kunusa baadhi ya maeneo ya mwili wako kuona kama yanatoa harufu!, mara nyingine unajikuna kisha unapeleka mkono puani kuona ni harufu gani utaskia.
2. Kuigiza kama unafanyiwa interview. Unajiuliza maswali kadhaa na kujijibu kwa kujiamin huku unatabasamu kana kwamba kuna mtu anakuona.
3. Kutoa uchafu puani kwa kutumia kidole kwa dakika kadhaa, na mtu akitokea ghafla, unajidai unakuna shavu!
4.Kula haraka haraka kwa kificho (tunda, kitafunwa nk) ofisini, nyuma ya mlango nk na kujifuta mdomo ili asigundue mtu!
5. Kutengeneza Sura mbalimbali mbele ya kioo na kuangalia unaonekanaje!
6 Kutoa Hewa chafu kwa sauti (Farting Loud). Hii hairuhusiwi kwenye jamii yetu!
7.Kutoa Haja ndogo wakati wa kuoga
8 Kufanya baadhi ya vitu kwa kutumia miguu badala ya mikono! Kufunga mlango au Kuokota vitu kwa kutumia vidole vya mguuni
9. Kula paketi nzima ya chakula Fulani ambayo pengine ungekula kwa siku kadhaa taratibu
Tuambie ni nini huwa unafanya ukiwa mwenyewe hapo chini
HahahaKutoka bafuni naked kama uko kwenye self
daah..!! Hatari yani huku ukiwa unawaza ya keshoKuingiza mkono kwenye dushe na kukuna au kuchezea p*mbu kabla hujasinzia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ukiwa unakula peke yako nyama ikidondoka chini unaichukua unaila ila mkiwa wengi unazuga na kuitupa
kumbe huwa zinawaumaWanawake waliosuka rasta mara nying utakuta anaingiza kidole katikati ya kichwa anajikuna au anapiga piga kichwa kwa mikono mwenyewe ukitokea vuuuu anazuga zuga kama anarekebisha nywele vile
[emoji15]
Hata kiungouongooUkiwa kwenye chumba cha mtihan then paper gumu kinoma unabaki unakodoa macho ukiona mwalimu anakuja unajifanya unali solve
Hahaha hii nilifanyaga enzi za utoto sanakuchezea mate mazito kwa kuyapuliza kama puto akitokea mtu unayameza fasta
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukisikiwa unaambiwa tukununulie mkate?Kubanja kwa nguvu na kulimeza kohozi