Lazima huwa unafanya moja ya vitu hivi unapohisi hakuna anaekuona!

Kunusa boxer au chupi baada ya kuivua either unaenda kuoga or unataka kurudia kuivaa kabla hujafua for both M&F

Halafu hiyo ya kutoka uchi bafuni ndo tabia yangu chumba chang kipo karbu na bafu so nyakat za uck nkioga natoka mbio hdi ndan siku moja acha ntelez kweny tiles
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wewe ni tatizo
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ kama mm hua na hesabu moja...mbili.. Tatuuuu...alafu ndukiii... Nikiwa uchii
 
Kujamba kwa silencer, hii wengi wanafanya!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…