mimi mkali
JF-Expert Member
- Dec 14, 2012
- 1,794
- 1,570
Namba 3,7 na 8 [emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijajua kwa wanaume ila binafsi napenda sana tena nkitoka kuoga naweza kumaliza lisaa zima katika kioonaked ni wanawake mara nyingi ila kwa wanaume hakuna ila sijui kwa wenzangu
Uje tusimame naked wote mbele ya kioo ....LOL!Mweeeh madame can i see?
Acha madame ku disturb feelings za watu jamani. Hutaki cha kupangiwa kupost niniUje tusimame naked wote mbele ya kioo ....LOL!
Naelewa sana hulka zenu mana unakuwa unajithaminisha umbo lako na ndio maana wapiga picha za utupu hata katika viungo vya uzazi ni mabinti refer case za pc kuharibika na picha kugundulika za utupu. Binafsi picha ya kifua wazi sijawahiSijajua kwa wanaume ila binafsi napenda sana tena nkitoka kuoga naeza kumaliza lisaa zima katika kioo
Sasa madame unakuwa unajiangalia nini jamani kwani kwani hujifahamu ulivyoSijajua kwa wanaume ila binafsi napenda sana tena nkitoka kuoga naeza kumaliza lisaa zima katika kioo
[emoji2] [emoji2] [emoji2]Kuchomoa kipwinto (chupi imezama kwenye mstar wa ikweta )
aha ha haukiwa unakula peke yako nyama ikidondoka chini unaichukua unaila ila mkiwa wengi unazuga na kuitupa
Kijipiga dole kwenye haja kubwa hasa ukiwa na ule ugonjwa wa kuwasha kwa nje bawasira1.Kunusa baadhi ya maeneo ya mwili wako kuona kama yanatoa harufu!, mara nyingine unajikuna kisha unapeleka mkono puani kuona ni harufu gani utaskia.
2. Kuigiza kama unafanyiwa interview. Unajiuliza maswali kadhaa na kujijibu kwa kujiamin huku unatabasamu kana kwamba kuna mtu anakuona.
3. Kutoa uchafu puani kwa kutumia kidole kwa dakika kadhaa, na mtu akitokea ghafla, unajidai unakuna shavu!
4.Kula haraka haraka kwa kificho (tunda, kitafunwa nk) ofisini, nyuma ya mlango nk na kujifuta mdomo ili asigundue mtu!
5. Kutengeneza Sura mbalimbali mbele ya kioo na kuangalia unaonekanaje!
6 Kutoa Hewa chafu kwa sauti (Farting Loud). Hii hairuhusiwi kwenye jamii yetu!
7.Kutoa Haja ndogo wakati wa kuoga
8 Kufanya baadhi ya vitu kwa kutumia miguu badala ya mikono! Kufunga mlango au Kuokota vitu kwa kutumia vidole vya mguuni
9. Kula paketi nzima ya chakula Fulani ambayo pengine ungekula kwa siku kadhaa taratibu
Tuambie ni nini huwa unafanya ukiwa mwenyewe hapo chini
Ngono binafsi[emoji533] [emoji97] [emoji97] [emoji97] CHAPUTA nilisahau...[emoji23] [emoji23] [emoji23]