Lazima kuna sababu za msingi sana kwa Msumbiji kuomba msaada wa kijeshi Rwanda kukabili waasi badala ya Tanzania ambao wana undugu nao wa damu

Lazima kuna sababu za msingi sana kwa Msumbiji kuomba msaada wa kijeshi Rwanda kukabili waasi badala ya Tanzania ambao wana undugu nao wa damu

Ndi
Kuna wakati Tanzania ilijulikana kwa umahiri katika mapambano ya kivita, na jeshi letu JWTZ liliaminika sana katika uwanja wa mapambano. Hata waasi sehemu kama DRC walikuwa wakisema wazi, kwamba hawakuogopa kukabiliana na jeshi jingine lolote isipokuwa JWTZ ndio waliwaogopa sana. Tulijenga sifa pia upande wa vikosi vya Umoja wa Mataifa kwamba tuna jeshi linalotumainika na kutegemeka.

Lakini baada ya hivi karibuni Msumbiji kupata matatizo na waasi, wamekimbilia Rwanda kuomba msaada, na sio Tanzania. Najiuliza sana, kulikoni tena Msumbiji wamegeukia Rwanda na sio Tanzania tena? Na habari kutoka Msumbiji zinasema jeshi la Rwanda limefanya maajabu Msumbiji na kukomboa sehemu iliyokuwa ikikaliwa na waasi.

Ukweli ni kwamba fursa za jeshi letu kutoa msaada wa kijeshi pale unapotakiwa ni fursa nzuri sana ya kulipa mazoezi halisi ya kivita. Wakati wa vita na Idd Amin, sababu moja iliyofanya tumpige kirahisi ilikuwa kwamba jeshi letu lilikuwa na uzoefu wa vita katika mapambano ya kupigania uhuru kusini mwa Afrika. Kwa hiyo Idd Amin alichokoza nchi ambayo wanajeshi wake walikuwa wamebobea vita, wakati wanajeshi wa Uganda walikuwa wameoteana vitambi na uzoefu wao ilikuwa kupiga raia wasio na silaha. Sasa nachelea sababu za Msumbiji kuamua kwenda Rwanda safari hii. Au wameona tuko busy na mabishano ya katiba mpya na kupambana na wapinzani wa siasa mitaani?

Reference: Rwandan, Mozambican troops capture rebel stronghold in Cabo Delgado
Ndio maana Marekani kila vita wapo hii inawaweka sawa sana
 
Q
Jamaa alifanya dharau kuwatumia mabeberu ila alikuwa akijua mkali wa hizi kazi ni Jei Wii toka TZ kwa aibu akaona amtangulize Mrwanda kisha ndio ajipendekeze kwetu!

Vijana wameenda kumaliza mzizi wa fitina kabisa wakitoka huko hali itakuwa ni shwari sana! Ila kwa sura za wale vijana niliowaona nina mashaka kama watakuwa na ari kama waliokuwa nayo baba zao akina Mwita🤣
Jw wanaenda kuwatawanyisha wale wavaa ndala
 
Kwenye mahojiano kati ya BBC Kiswahili na msemaji wa JWTZ tarehe 11/8 imeelezwa Tanzania pamoja na nchi kadhaa za SADCC zitapeleka majeshi Msumbiji.
Tz isingeweza kuwahi kwenda Msumbiji ilhali hao magaidi pia wanatushambulia na sisi
 
Kulinda amani au kupigana na waasi sioni kama ni fursa, huo naona ni msaada. Afrika kuna nchi zaidi ya 50, kwa nini Tanzania ndio unataka tuwe na kiherehere kila vita ikitokea.

-Mozambique tumekaa miaka na miaka uko kipindi cha Samora Machel
-Zimbabwe hadi walikuwa na kambi hapa
-Uganda rais wao tumemlea sisi
-DRC kipindi cha M23
-Angola wale kina MPLA tena vita yao ilihusisha superpowers
-Visiwa gani pale bahari ya Hindi kipindi cha Kikwete tulienda zuia mapinduzi
-Tumelinda amani Darfur

Kuna faida gani tunapata, kuna hasara gani tunapata tusipoenda Mozambique. Hawajaomba msaada kwetu, ulazima wa wao kuja kwetu ni upi. Kwenye ranking za majeshi bora hakuna kigezo cha kulinda amani kuwa ishara ya jeshi imara. Mbona ule ni utashi.

Ujerumani ina miaka haishiriki mission yoyote, Japan tangu 1945 haijatoa mwanajeshi wake nje ya mipaka, Taiwan tangu iwe huru haijashiriki vita au mapigano yoyote, Switzerland tangu karne ya 16 uko haijaingia vitani na yeyote wakati jirani zake wameingia vita kibao. Sasa kapigane nao kisa huwa unafukuza majambazi msituni uone kama haujaangushwa.
Uchambuzi bora
 
Kulinda amani au kupigana na waasi sioni kama ni fursa, huo naona ni msaada. Afrika kuna nchi zaidi ya 50, kwa nini Tanzania ndio unataka tuwe na kiherehere kila vita ikitokea.

-Mozambique tumekaa miaka na miaka uko kipindi cha Samora Machel
-Zimbabwe hadi walikuwa na kambi hapa
-Uganda rais wao tumemlea sisi
-DRC kipindi cha M23
-Angola wale kina MPLA tena vita yao ilihusisha superpowers
-Visiwa gani pale bahari ya Hindi kipindi cha Kikwete tulienda zuia mapinduzi
-Tumelinda amani Darfur

Kuna faida gani tunapata, kuna hasara gani tunapata tusipoenda Mozambique. Hawajaomba msaada kwetu, ulazima wa wao kuja kwetu ni upi. Kwenye ranking za majeshi bora hakuna kigezo cha kulinda amani kuwa ishara ya jeshi imara. Mbona ule ni utashi.

Ujerumani ina miaka haishiriki mission yoyote, Japan tangu 1945 haijatoa mwanajeshi wake nje ya mipaka, Taiwan tangu iwe huru haijashiriki vita au mapigano yoyote, Switzerland tangu karne ya 16 uko haijaingia vitani na yeyote wakati jirani zake wameingia vita kibao. Sasa kapigane nao kisa huwa unafukuza majambazi msituni uone kama haujaangushwa.
Yaa nakuongeza rank sasa utakua sajin meja!! Mkuu salute:
 
Mkuu Jeshi letu ni imara na Bora sana Africa, Tulishanusa halufu ya hawa insurgents kule Kusini Mwa Nchi yetu mtwara Na tayari border ikamalishwa zaidi kuhakikisha hawafiki kwetu, Vita ni hasara sana Vitengo vya intelligence vimeshaona hakuna sababu ya kuingia kichwa kichwa kule mana mizizi iko deep sana kwenye hayo maeneo yote ambayo yako covered Na Millitants we are very aware
 
Kwa ufahamu wangu mimi hii inaweza kuwa moja ya sababu, ...vuta picha kinachoendelea kenya pamoja na wale wana mgambao wa AL-SHABAB. Waasi wakiwa eneo la karbu na mpaka wa nchi yako na kama utaunga mkono kupigana nao basi tayari watakuona wewe ni adui kwao hivyo ni rahisi kupenya na kufanya mashambulizi nchini kwako. Hivyo nchi zilizo mbali na eneo la uwanja wa medani huunga juhudi haziwezi kupata athari ya moja kwa moja. Kuna article moja ya UNITED NATIONS inaelezea vizuri kipengele hiki, nitakiweka hapa kama reference.
 
Mkuu Jeshi letu ni imara na Bora sana Africa, Tulishanusa halufu ya hawa insurgents kule Kusini Mwa Nchi yetu mtwara Na tayari border ikamalishwa zaidi kuhakikisha hawafiki kwetu, Vita ni hasara sana Vitengo vya intelligence vimeshaona hakuna sababu ya kuingia kichwa kichwa kule mana mizizi iko deep sana kwenye hayo maeneo yote ambayo yako covered Na Millitants we are very aware
Well said [emoji106][emoji106][emoji106]
 
Umeamua kumkomoa mleta mada sio
Kulinda amani au kupigana na waasi sioni kama ni fursa, huo naona ni msaada. Afrika kuna nchi zaidi ya 50, kwa nini Tanzania ndio unataka tuwe na kiherehere kila vita ikitokea.

-Mozambique tumekaa miaka na miaka uko kipindi cha Samora Machel
-Zimbabwe hadi walikuwa na kambi hapa
-Uganda rais wao tumemlea sisi
-DRC kipindi cha M23
-Angola wale kina MPLA tena vita yao ilihusisha superpowers
-Visiwa gani pale bahari ya Hindi kipindi cha Kikwete tulienda zuia mapinduzi
-Tumelinda amani Darfur

Kuna faida gani tunapata, kuna hasara gani tunapata tusipoenda Mozambique. Hawajaomba msaada kwetu, ulazima wa wao kuja kwetu ni upi. Kwenye ranking za majeshi bora hakuna kigezo cha kulinda amani kuwa ishara ya jeshi imara. Mbona ule ni utashi.

Ujerumani ina miaka haishiriki mission yoyote, Japan tangu 1945 haijatoa mwanajeshi wake nje ya mipaka, Taiwan tangu iwe huru haijashiriki vita au mapigano yoyote, Switzerland tangu karne ya 16 uko haijaingia vitani na yeyote wakati jirani zake wameingia vita kibao. Sasa kapigane nao kisa huwa unafukuza majambazi msituni uone kama haujaangushwa.
 
Tumia akili kidogo wewe, yake machafuko yanahusu kampuni ya TOTAL ambayo ndio ina mradi mkubwa sana wa kuchimba gesi/ mafuta huko Delgado. Sasa TOTAL ni kampuni ya ufaransa, na ufaransa na mizizi mikubwa sana nchi za Rwanda, Burundi, DRC nk. ila sio Tanzania, na kwa vyovyote huo msaada wa kijeshi si msaada kama unavyotajwa, lazima Rwanda walipwe na faida juu, sasa unadhani nani analipia hiyo vita kama si French TOTAL?

Umesahau kusema na Kagame ni rafiki sana wa France kwa hiyo France wanalitumia jeshi lake wanavyotaka - hapo ndipo ungeonyesha jinsi gani situmii akili kidogo
 
Vita haipiganiwi mtandaoni,
Mkuu unaaamini kabisa,Msumbiji wakienda kuomba msaada kutoka Rwanda,badala ya jirani zake Tanzania na Afrika kusini?
Yaani tuamini majeshi ya South Afrika na Tanzania yaliogopa,ndio Rwanda akaenda?don't be naive!!!bro hao waasi walikuwa wameisha malizwa,Rwanda ameenda hatua za mwisho tu.
Kwanza usinilishe maneno. Pili jifunze tena maana ya neno naive
 
Msunbiji wameomba msaada kwa majeshi ya SADC ,na sasa wap huku vikosi vyte vimekamilika kuanza msako wa waasi .Jeshi la msumbiji liligawanyika na kuzidiwa na waasi
Walisema hawataki SADC wanataka USA!
 
Kulinda amani au kupigana na waasi sioni kama ni fursa, huo naona ni msaada. Afrika kuna nchi zaidi ya 50, kwa nini Tanzania ndio unataka tuwe na kiherehere kila vita ikitokea.

-Mozambique tumekaa miaka na miaka uko kipindi cha Samora Machel
-Zimbabwe hadi walikuwa na kambi hapa
-Uganda rais wao tumemlea sisi
-DRC kipindi cha M23
-Angola wale kina MPLA tena vita yao ilihusisha superpowers
-Visiwa gani pale bahari ya Hindi kipindi cha Kikwete tulienda zuia mapinduzi
-Tumelinda amani Darfur

Kuna faida gani tunapata, kuna hasara gani tunapata tusipoenda Mozambique. Hawajaomba msaada kwetu, ulazima wa wao kuja kwetu ni upi. Kwenye ranking za majeshi bora hakuna kigezo cha kulinda amani kuwa ishara ya jeshi imara. Mbona ule ni utashi.

Ujerumani ina miaka haishiriki mission yoyote, Japan tangu 1945 haijatoa mwanajeshi wake nje ya mipaka, Taiwan tangu iwe huru haijashiriki vita au mapigano yoyote, Switzerland tangu karne ya 16 uko haijaingia vitani na yeyote wakati jirani zake wameingia vita kibao. Sasa kapigane nao kisa huwa unafukuza majambazi msituni uone kama haujaangushwa.
Halafu kingine urafiki upi anao sema na msumbiji wakat waliwafukuza watanzania na kuwachukulia Mali zao kipind Cha magufuli halafu bado tunawadai pesa nyingi za kuwakomboa toka kwa mreno bado hawajalipa
 
Umesahau kusema na Kagame ni rafiki sana wa France kwa hiyo France wanalitumia jeshi lake wanavyotaka - hapo ndipo ungeonyesha jinsi gani situmii akili kidogo
😁😁😁 Kagame Ni rafiki Sana wa ufaransa kutoka lini?Macron juzi tu kwenda Kigali ndio ameshakua rafiki wa Kagame?

Hujui history ya Rwanda na France?hujui hata balozi wa France Kigali alishafukuzwa na kagame Muda mrefu tu juzi ndio wamerudisha huko huo ubalozi.
 
Idd amini tulimpiga sababu hakuwa na mahusiano mazuri na wananchi wake,so Mambo yalikuwa mseleleko
 
Back
Top Bottom