Walifungwa goli 5, wakajibu mwaka jana.Bado rekodi ya goli 6 hawajaifikia.
Simba walicheza fainali CAF,yanga wakacheza pia halafu wanatamba kufanya marudio.
Simba amezoea kuingia robo fainal klabu bingwa,yanga yenye timu nzuri nayo imeingia lakini kwa vile Simba hawajavuka hatua hiyo,yanga hawawezi kuvuka.Lazima Simba waanze kwanza.
Yapo mengi Simba wameanza,yanga anafuata.Ni kama motivation ya yanga ni wivu dhidi ya simba,kitu ambacho sio kibaya.Lakini wakitaka waende mbali,waiache Simba itangulie kwanza
Simba walicheza fainali CAF,yanga wakacheza pia halafu wanatamba kufanya marudio.
Simba amezoea kuingia robo fainal klabu bingwa,yanga yenye timu nzuri nayo imeingia lakini kwa vile Simba hawajavuka hatua hiyo,yanga hawawezi kuvuka.Lazima Simba waanze kwanza.
Yapo mengi Simba wameanza,yanga anafuata.Ni kama motivation ya yanga ni wivu dhidi ya simba,kitu ambacho sio kibaya.Lakini wakitaka waende mbali,waiache Simba itangulie kwanza