ngoshwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2009
- 4,131
- 937
- Thread starter
- #21
inaprndeza ukizikwa kwenu maana kabuli litakuwepo siku zote kumbukumbu tofauti namjini ambapo hawachelewi kuhamisha makabuli kama ambayvo iliwahi kutokea
Huwa najiuliza kila wakati, hivi kutokana na kupanuka kwa miji, bado maeneo ya makaburi yatazidi kuheshimiwa huko vijijini kunakokuita sasa?? manaka hata ukienda katika Makaburi Makubwa Kama Kinondoni, kuna watu wamezikwa miaka ya 1800 hvi wakati huo nadhani palikuwa porini pakiitwa kijiji, saa kaburi ukipata ni juu ya kaburi jingine pengine zaidi ya matano pamoja.
Na hata kwa mfano Ilala Boma ambapo wakati fulani paliwahi kulea mvutano wa kuhamisha makaburi, sina shaka wakati huo eneo la makaburi lilipoanzishwa palikua kama kijijini na waliozikwa walisema wapo nyumbani...sijui kukua kwa miji yetu kama hakuna athari ya kuwepo pia kwa dhana ya kuhifadhi maeneo ya Makaburi ???.....