William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
Mwambie ukweli tu jamani!? Akili zipi hizo sasa? Angekua na age ya kina belle 9 angalau au Ben Paul ungesema kijana anajituma,.... Hapa unamuitaje sasa
What's crackin' ma nigga?
Le babu jinga.....zee zima unajisifia ujinga hapa....enzi zako zishapita... Tuachie wajukuu zako sasa. Nikikwambia ninacho Fanya na nilivyo vifanya kwa umri wangu utajidharau.
- Sasa mbona wewe babu janja hawajakualika Chuo Kikuu cha UDSM? hivi unafikiri wanaweza kumualika mjinga mjinga anyetumia majina ya bandia kutukana watu humu kama wewe? hahahahahahaha pole sana haya mambo tuachieni sisi wenye AKILI KUBWAZZZZ tukiingia humu tunalipwa wewe unajza bando na hupati kitu humu hahahahahahahaha U know babu janja hahahahaha le mburulazzzzz mazafantazzz
le Mutuz
Hahaa h lemutuz "sio kwa sifa hizi"- asmaa80, please ni check kwenye my number 0717618997 nikurushie vocha ya Tsh. 20,000 maana unatisha U know nakupenda lov u more baby!!, nilikuwa safarini Dodoma on vodacom with Diamond na Mafikizolo ndio maana nilikuwa sijaiona hii U know lov U mingi sana!!
le Mutuz Nation
Sasa tangu lini balozi wa voda ila hatumii namba ya voda anatumia ya tigo?- asmaa80, please ni check kwenye my number 0717618997 nikurushie vocha ya Tsh. 20,000 maana unatisha U know nakupenda lov u more baby!!, nilikuwa safarini Dodoma on vodacom with Diamond na Mafikizolo ndio maana nilikuwa sijaiona hii U know lov U mingi sana!!
le Mutuz Nation
Le mutuz kwenye ubora wake, le super genius akili mingi [emoji41]
Ukimsifia sasa hivi unakula vocha ya 20nawe umeanza kuvizia vocha ee!
ni vyema pia tukafahamishwa hilo kongamano limeandaliwa na UDSM au taasisi nyingine? isije kuwa imeandaliwa na taasisi nyingine ila limefanyikia katika ardhi ya UDSM halafu watu wanajisifu bure....
"Kongamano hilo lililoandaliwa na 'taasisi ya HER INITIATIVE' lilihudhuriwa na wanafunzi wa vyuo mbalimbali vya Dar es Salaam na wasichana wajasiriamali pamoja na wageni kadhaa wakiwemo, Ruge Mutahaba, Le Mutuz, Jennifer Shigoli, Maznat Sinare, Aika na Mhe Bona Kaluwa"
Nimefukunyua humu:- Picha: Kongamano la ‘Her Initiative’ lafanyika UDSM | Bongo5.com
Asante.
Sasa tangu lini balozi wa voda ila hatumii namba ya voda anatumia ya tigo?
What a mess!!
60 's kweli kwa post hizi..... Hahahahaaaaaaaa......
Teh teh mkuu umemkosea sana Le mutuz mzee wa mababez mtindiz!!Kingemfaa vipi wakati watoto katelekeza na ndio walimfanya akimbie kazi ya kuzima moto NYC kwa kushindwa kulipa matunzo.
Ni ajabu jamaa la miaka 57 kutangaza kipindi cha mapenzi, sijui mapenzi gani?
Wala usiwaze mkuu! kwenye category za vipindi atajistukia tu then atafikiri mwenyewe!!Atatuharibia watoto.
ni vyema pia tukafahamishwa hilo kongamano limeandaliwa na UDSM au taasisi nyingine? isije kuwa imeandaliwa na taasisi nyingine ila limefanyikia katika ardhi ya UDSM halafu watu wanajisifu bure....
"Kongamano hilo lililoandaliwa na 'taasisi ya HER INITIATIVE' lilihudhuriwa na wanafunzi wa vyuo mbalimbali vya Dar es Salaam na wasichana wajasiriamali pamoja na wageni kadhaa wakiwemo, Ruge Mutahaba, Le Mutuz, Jennifer Shigoli, Maznat Sinare, Aika na Mhe Bona Kaluwa"
Nimefukunyua humu:- Picha: Kongamano la ‘Her Initiative’ lafanyika UDSM | Bongo5.com
Asante.