Le Baharia amuonya Diva Loveness

chei chei chei mjombaaaa chei chei mjombaaaaa

le big show you know
 
Duh,lemutuuz anapendwa aisee.hata wanaomtukana bado wanampenda ni vile tu hawakubali kuwa wawazi.yani post yoyote ikiwekwa ya lemutuuz inavamiwa kama mpira wa kona..yana watu wako attention kabisa wanasubiria post mpya ya kuhusu lemutuuz..hata diamond na wema chamtoto kwa lemutuuz
 

- Mkuu hakuna mtu decent Duniani anayeweza kuandika maoni yake kwa majina ya bandia na hata shule haijakusaidia kitu, shule imenisaidia mtu kama mimi ninayeweza kutoa maoni yangu hapa bila uoga wala kuficha jina langu, weka jina lako kamili kama mimi then lilia heshima until then ni wale wale tu!!

le Mutuz
 

- hahahahahahahahahaa U know wanashobokea Le Mutuz King of All bongo Social Media Network U know hahahahahaha and me I love it U know!!

le Mutuz
 
- hahahahahahahahahaa U know wanashobokea Le Mutuz King of All bongo Social Media Network U know hahahahahaha and me I love it U know!!

le Mutuz
Congrats brother, unafanya kazi nzuri mitandaoni we piga kazi bongo hakuna jema kila unachofanya utaandamwa tu, fitna na majungu haviishi.
 
Congrats brother, unafanya kazi nzuri mitandaoni we piga kazi bongo hakuna jema kila unachofanya utaandamwa tu, fitna na majungu haviishi.

- Kuandamwa na watu wanaotumia majina ya bandia I love it tena I can take them hata nikiwa nimelala U know hahahahaha and I lov it!!

le Mutuz
 
Watu wengi wanamfuatilia Lemutuz mitandaoni esp Instagram ndio maana watu wanajua kila anachofanya,
Tusiwakatishe tamaa watu walioamua kujiajiri na kuonyesha njia kwa wengine,Lemutuz anastyle ya kipekee ya kuwasilisha ujumbe kwa wasomaji kwa namna inavutia watu wengi kusoma,
Anafanya kazi nzuri tuwe fair.
 

Le super noah wewe umekazaniaga ishu ya jina bandia miaka yote, kwa hio watu wote humu wenye majina bandia hawajiamini? alieanzisha nick name alikua hajiamini?? Hii hoja yako haina maana yoyote.
 

Humu ndani kuna a lot of people ambao ni decent wapo humu ndani na still wanatumia majina bandia hapo unasemaje sasa .. Sawa nadhani wewe imekusaidia kwa kipi? kwa kuwa na blogu si ndio au, usifanye watu waanze ku-question degree zako na hata matokeo yako maana isiwe unajisifu kuwa una degree 3 kumbe cheti kimejaa makalai (C), let me repeat what I said before "It is none of your business to know my name" unadhani waanzilishi wa JF waliosema You may opt to use your nickname au real name walikuwa wajinga au? so it is my decision to use my name or nickname, by the way heshima huwa haililiwi ila inakuja, remember I am only 29 with 2 degrees (B.A and M.Sc) from well know Institution (UDSM) na heshima kwangu itakuja tu its the matter of time....by the way ukishajua majina ya watu itakusaidia nini?
 
Le super noah wewe umekazaniaga ishu ya jina bandia miaka yote, kwa hio watu wote humu wenye majina bandia hawajiamini? alieanzisha nick name alikua hajiamini?? Hii hoja yako haina maana yoyote.

- Kama hoja yangu haina maana hebu weka jina lako kamili na picha hapa hahahahaha huwezi maana ni muoga shule haijakusaidia anything, shule imenisaidia mimi naweza kusimama hapa kwa jina na picha yangu bila uoga wewe umesoma shule unamuogopa nani? halafu una maneno mengi ya kutetea mediocre hahahahahahahahaa

le Mutuz
 

- Chuo Kikuu wanawaita akili kubwazzz wanaoweza kuandika hapa kwa majina yao kama mimi sio wewe hawawezi kukuita cuase hujiamini ni muoga kama fisi, kama sio simama kama mimi uhesabiwe tumia jina na picha yako kama huwezi nyamaza au endelea kulia lia na majina majina yako ya bandia pole sana na inasikitisha sana

- Elimu haijakusaidia kabisa wewe na kusomakwako ni muoga muoga kama fisi, hii Dunia ni ya watu kama mimi hatuogopi tunasimama kuhesabiwa hahahaha tizama mtumzima analia eti waanzilishi wa jamiiforums ndio wametuma kuandika kwa majina ya bandia hahahahahahahaha so wewe huna akili za kufikiri mpaka uamuliwe na jamiiforums na huna hata haya kusema aibu mkuuu nyamaza tu!!

le Mutuz
 

- Kaka nimeshakutumia vocha yako ya TSH. 20,000 unajua sisi huwa tunatimiza ahadi huwa hatuna longo longo hahahahahaha le big show le baharia le mutuz nation THE KING OF ALL BONGO SOCIAL MEDIA NETOWRK!! au kuna anayebisha? hahahahahahaha U know

le Mutuz
 

huu mchezo hautaki hasira mzee, I give you one condition... tell us your age publicly kama unajiamini as from my side nasema am young boy aged 29 with 2 degrees (B.A and M.Sc) na wewe sema hivi Am Le Mutuz aged ..... with 3 Bachelor Degrees....Ukishindwa kutaja umri wako na wewe ni wale wale (Waoga kama Fisi)...twende kazi, Taja umri wako uone watu watakavyo tiririka majina yao...na elewa mimi si mtu mzima am Young Energetic Boy...tupe umri wako kama nilivyofanya mimi....Elewa huu mchezo hauhitaji hasira
 

Kwa hio siku hizi shule inasaidia mtu kutokua muoga?jifunze kujenga hoja zenye mashiko! Halafu mbona unacheka cheka kama chiriku tabia za kina nanii hizo.
 
Kwa hio siku hizi shule inasaidia mtu kutokua muoga?jifunze kujenga hoja zenye mashiko! Halafu mbona unacheka cheka kama chiriku tabia za kina nanii hizo.

- So unasema watu serious walioenda Shule watakuchukulia serious wewe wa jina la bandia au mimi mwenye jina kamili na picha yangu? hahahahahahahah jipime tena kama wewe na mimi tunafanana ligi ya elimu hahahahahahah

le Mutuz
 

- hahahahahahaha wewe mambo yako ni ya bandia bandia ni fake fake sasa niambie kwenye kelele zote ulizoandika upi ni ukweli na upi ni fake ake kama jina lako? hahahahahahahahahah wewe ni bandia bandia tu hata maneno yako ni bandia bandia so mimi sio size yako mimi ni AKILI KUBWAZZZ tafuta bandia wenzako ubishane nao hahahahahahahaha

- Maneno mengi bandia bandia tu eti una degreee za bandia kama jina lako labda hahahahahahahhaa U know wewe umewahi kusikia wapi Shahidi mwenye jina la bandia akasema ukweli? hahahahahahahahaha

le Mutuz
 
- So unasema watu serious walioenda Shule watakuchukulia serious wewe wa jina la bandia au mimi mwenye jina kamili na picha yangu? hahahahahahahah jipime tena kama wewe na mimi tunafanana ligi ya elimu hahahahahahah

le Mutuz

Unaona ulivo maskini wa kufikiri? Sasa umetoka kwenye jina bandia unataka kufananisha elimu yangu na yako, yani wewe ni le hewazz kichwani sijawahi kuona msomi kamili anajiwekea ligi na mwenzie kuhusu elimu otherwise ni ulimbukeni wa kupata elimu ukubwani tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…