Le Mtuz this is Too Low for You

Le Mtuz this is Too Low for You

ulikuwa kwa yule demu wa ifm eti unasolve kesi now upo kwa wema against kajala yani we jombaa nyapu zitakukili

let him be, kupanga ni kuchaguwa yeye ndio maisha aliyoyachaguwa, hujui huyo ccm yupo jumuiya ya wazazi? na the same time ni mjumbe wa uvccm.

usiulize mimi kama kuna vijana wa miaka 50+ nenda lumumba utapata ufafanuzi au humu tafuta id ya mwanadiwani muulize yeye atakujibu.
 
Binafsi sijaona kosa la Lemutus zaidi ya kubainisha mtazamo wake kwa watu ambayo kiasi fulani ana ukaribu nao.

Labda badala ya kupost kwenye blog yake angefanya jitihada za kiwatafuta wahusika mmoja mmoja kisha akawashauri cha kufanya badala ya hapo alivyofanya.

Kingine uandishi wa Lemutuz ni kitoto maana kutumia capital letters peke yake haivutii jambo ambalo limeshasemwa na baadhi ya watu.
 
Processor za huyu bwana huwa nashindwa kuzielewa zinavyofanya kazi.
He is too old for this. aachie watoto hizi vitu.

Shida yake ni Chromosomal Abberation na tumoombee tu kwani hakujitakia tatizo hilo...
 
Le baharia kanichekesha Instagram eti angeambiwa yeye ni mbaya angekosa usingizi
afadhali kaambiwa shida yake ni kitambi tu hivo atakishughulikia
ha ha ha hapa ndo sionagi umuhimu wa kigezo cha umri kwenye ndoa
unaeza kuwa na mtu mzima ila ni mzigo, tena zigo la misumari hata kulibeba huwezi
....

kungekuwa na option ya kulike more than once ungekuta likes zangu kama 7532 hivi.
kula nyingine hiyo.
 
KAJALA mzuri sana kuliko wema !

My take

haijarishi, mwanamke mzuri ni yule tu anayeweza kumridhisha mpenziwe.

back to topic Wema ataungwa mkono na kila binadamu mwenye akili timamu kwa hili.

kuna vidume na pum.bu zao wanatafuta mitaji ya million 5 tu na nanga inapaa sembuse mtu akulipie million 13 halafu umeota meno ya juu unataka ligi naye? he'll no sishabikii umbeya lakini kwa hili Wema nampa credit zake.
 
afu anaandika kwa kujifaragua kuwa wema na kajala n rafk zake .wema na kajala ndo super stars gan.afu wema pesa hakutoa yeye ulisahau kusema.
BUT leo nimegundua kitu kwenye siasa article zako zinanisumbua sizipendi hazvutii ila huku tee una swag
 
ulikuwa kwa yule demu wa ifm eti unasolve kesi now upo kwa wema against kajala yani we jombaa nyapu zitakukili

Afu we chalii uwage basi unawagongea na wenzio like asee, we ni vp Likes given ni 0??
 
afu anaandika kwa kujifaragua kuwa wema na kajala n rafk zake .wema na kajala ndo super stars gan.afu wema pesa hakutoa yeye ulisahau kusema.
BUT leo nimegundua kitu kwenye siasa article zako zinanisumbua sizipendi hazvutii ila huku tee una swag

kama Wema siyo superstar tutajie wewe superstar ni nani? pili kama Wema hakulipa zile pesa je ni wewe ndio ulilipa?
 
As far as the dude anahusika!.....hua anaplay field zote...siasa yupo....starehe yumo...umo pia ndo loooh kajaa....so sijaona cha kustaajabisha!!!!
 
Hivyi huyu jamaa naye ana ndoto za kuwa kiongozi! hafai hata kuwa balozi wa kijiji."......... mtoto hujionyesha kwa matendo yake......."
 
let him be, kupanga ni kuchaguwa yeye ndio maisha aliyoyachaguwa, hujui huyo ccm yupo jumuiya ya wazazi? na the same time ni mjumbe wa uvccm.

usiulize mimi kama kuna vijana wa miaka 50+ nenda lumumba utapata ufafanuzi au humu tafuta id ya mwanadiwani muulize yeye atakujibu.

Yupo Jumuiya ya wazazi halafu pia ni mjumbe wa UVCCM?

Lazima atakuwa na kipaji maalum cha kubadilika umri huyu.
 
Inaonekana una details za ndani..kabisa....kajala mbona kahojiwa anataka yaishe? Ya tuico umefikiaje?
Hahaaaaaa! Mtoto MNAFIKI YULE KUOMBA MSAMAHA KWENYE MEDIA,!!!!? Hana lolote! Tuico ndo najipanga kuanza mchakato!
 
Back
Top Bottom